Kama kuna mwanamke hashiki kabisa mimba, aje 'nimhudumie'

Usedcountrynewpipo

JF-Expert Member
Aug 1, 2012
3,638
2,720
Huenda nina uwezo wa kipekee.
Kila nikikutana kimwili na mwanamke, hata kama hayuko kwenye cku zake, au hata kama nimetumia kinga au withdrawal method, baada ya mda wa cku chache mwanamke huyo atajihisi ana mimba!
Sasa kwa kuwa hili limeshatokea mara kadhaa, linanipa sababu za kuamini kuwa nina uwezo wa kipekee wa kumfanya mwanamke 'ajihisi' mja mzito jambo ambalo linaweza kuwa la faraja kwa wanawake wenye tatizo la kupata mimba.
NB: Ikumbukwe furaha ni hisia. Hata kama hataweza kupata mimba yangu, kile kitendo tu cha kuhisi kuwa 'kaumuka' kitamuongezea faraja.
 
Biashara bila matangazo haiendi, asante tangazo tumeliona watakuja huko PM
 
kama vip waambie wadau mpaka saiv utakua umepachika mimba ngap na kipaji chako iko
 
Huenda nina uwezo wa kipekee.
Kila nikikutana kimwili na mwanamke, hata kama hayuko kwenye cku zake, au hata kama nimetumia kinga au withdrawal method, baada ya mda wa cku chache mwanamke huyo atajihisi ana mimba!
Sasa kwa kuwa hili limeshatokea mara kadhaa, linanipa sababu za kuamini kuwa nina uwezo wa kipekee wa kumfanya mwanamke 'ajihisi' mja mzito jambo ambalo linaweza kuwa la faraja kwa wanawake wenye tatizo la kupata mimba.
NB: Ikumbukwe furaha ni hisia. Hata kama hataweza kupata mimba yangu, kile kitendo tu cha kuhisi kuwa 'kaumuka' kitamuongezea faraja.
Nimecheeeka mpaka chozi. We mzima? Kwani hujawahi ugua kichaa huko nyuma?
 
We lazima ulipataga ajali ya toyo ukaangukia kichwa nahisi damu iliyoganda kichwani kwako imekaribia kugusa ubongo
 
Mmmmh au unawaweka amira, maana kama mimba tu alafu hakuna kitakacho zaliwa basi hakuna maana ya mimba, lol
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom