Ikitotanzila
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,409
- 2,263
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.