Kama jpm alipeperusha korona na Hali uko hivi, he asingeipeperusha ingekuwaje!

Ikitotanzila

JF-Expert Member
Sep 22, 2020
1,409
2,263
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Dah

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Kwao hawataki hata kumsikia, ndiyo maana Mwenyekiti wa mtaa anaoishi aliku anatoka Chadema (2014-2019), wanamjua tabia yake ni mbaya sana.
 
Kwao hawataki hata kumsikia, ndiyo maana Mwenyekiti wa mtaa anaoishi aliku anatoka Chadema (2014-2019), wanamjua tabia yake ni mbaya sana.
Kwny uchaguzi wa 2015 kule kwao Niliona bango wananchi wamelishikilia limeandikwa 'tulimuomba barabara akatujibu kunyeni barabarani hicho kinyesi kikikauka kitageuka kua lami'.
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Kwa hiyo wewe ni mama huruma
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Kumbe wewe ni manzi
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Tazama hii
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Mkuu mwenyezi Mungu ndio anajua ukweli au uongo.
Walio na maono wanachambua na kupambana kwa hoja.Sijui katika mashtaka yenu hukoThe Hague shitaka mmoja ni kutokubalika Chato?
Enzi za lie detector tusingethubutu,hata grand propagandist Joseph Goebells huko ahera anapiga chafya.
 
Mungu ninayemuabudu mimi Hawezi akamrudisha shetani 2020.
Muuaji.
Mtekaji
Muongo.
Dikteta nknk.

Mungu anaipenda sana Tanzania Tuliomba rais Mkali sasa tumeomba Rais mwenye akili timamu, Mwenye hofu ya Mungu, mwenye upendo nk nk.

Kwaheri Jiwe
 
Mi nawaza kwa sauti tu. Kama hakubaliki kiasi hili mpaka kwao chato au mwanza tumeona lisu akitikisa huko, je asingekuwa na ajenda ya kupeperusha covid ingekuwaje? Inaonekana watu hawamtaki kabisa ndo Mana ameona atetewe na NEC na polisi ili kuwatisha watu angalau.
Maskini jpm mi nakuonea huruma mwenzio natamani nikupe hata mbunye yangu.
Watu wenye akili wanajua haja ondoa corona, ugonjwa upo ila tu kwabahati nzuri waafrika haiwaathiri sana kama wazungu ni kwa nchi zote za Africa hali ni ileile.
 
Back
Top Bottom