Kama Italy ndo wanakosa kwenda Russia 2018 basi round hii world cup Haina maana

duuu nimemiss now baggio,cross the ball to paulo maldin ohhh nesta now he is very strong ,inzagi to penalt box gooooo Itay 1 Romania 0
Ule mchanyato wa kina baggio Vieri huku del piero mara inzhagi (ambae (SAF)husema alizaliwa katika eneo la kuibia (kuotea )ilikuwa kipindi cha washambuliaji khatari sana achilia mbali ukuta wao wa chuma wa nyakati tofauti toka kwa Franco baresi ambae siku anastaafu pale sansiro wakamwambia hii jezi namba sita ni yako havai mwingine tena hapa mpaka kina maldin Nesta na canavaro ilikuwa azzuri kwelikweli wale wazee wa kubet msingepata tabu kutupia mpunga wenu walikuwa na viungo mahiri kabisa kama Pirlo ginare camoranesi ambao hatuoni wakizaliwa (sijui kina mama wa kiburuda wameweka mgomo )
 
Amenusurika kufuzu Argentina aliecheza world cup Fainal 2014 sembuse hao Azuri, ameshindwa kufuzu uholanzi mshindi wa tatu world cup 2014... acha wapambane na hali zao

Na ndio timu iliyoshehena mastaa kibao ndani yake ndani yake MESSI, DI MARIA, HIGUAIN, DYBALA, AGUERO, BENEDETTO, BANEGA, MASCHERANO N.K
 
Jibu ni kwamba vilabu vya italy ambavyo ndo vilikuwa vinatoa 95% hadi 100% ya wachezaji wa timu ya taifa vimeshuka kiwango. AC milan na Inter milan hizi timu zimekuwa za kawaida sana. kwa sasa Azzuri nayo imekuwa ya kawaida tu
 
Hata akienda hakuna la maana atalo fanya
Mkuu Root Italia hufanya vizuri pale wewe usipotegemea. Historia inaonyesha Italia hufika fainali kila baada ya miaka 12. 1970 ,1982, kule spain na walinyanyua kwapa.1994 kule Marekani walipopoteza kwa mkwaju wa penalty ya Baggio. 2006 Kule ujerumani waliponyanyua tena kwapa kwa penalt ya Vicenzo Ianquinta. Sasa ni 2018 miaka 12 tena. Italia wanakwenda kuushangaza ulimwengu.

Kwa maoni yangu italia ina kikosi kizuri ila inaangushwa na mwalimu kwa maana ya kocha. Ukiangalia ile back line yao sijaona kama kwa ulaya kuna back line bara kama wao. Barzagli,Chiellini,Banucci, Damian. Hawa ni moja kati ya beki bora kabisa ulaya.

Viungo wapo vizuri. Veratti na wenzie. Zaza,immobile,belotti ni attacking wazuri tu. Wanafunga magoli mengi tu kwenye ligi huko ulaya. Kinachotuangusha cc kama waItalia ni mwalimu. Leo Sweden anapigwa atake asitake. Italia kwenda Russia ni lazima kama ilivyo lazima kwa kifo
 
waitaliano hatuna striker mwaka huu
kipindi hicho tunachagua aanze nani hatu tutamuweka nani tupo vibaya sana waitaliano

striker wetu kwa pamoja tulikuwa na
Captain dela Roma yote
Francesco Totti
Philipo Pippo Inzagh
Alessandro Del Pietro
Alberto Gilardino
Laquinta

chagua wa kuanza ila tunashinda tu
na Luca Toni muongezee hapo
 
Mkuu Root Italia huganya vizuri pale were usipotegemea. Historia inaonyesha Italia hufika fainali kila baasa ya miaka 12. 1970 ,1982, kule spain na walinyanyua kwapa.1994 kule Marekani walipopoteza kwa mkwaju wa penalty ya Baggio. 2006 Kule ujerumani waliponyanyua tena kwapa kwa penalt ya Vicenzo Ianquinta. Sasa ni 2018 miaka 12 tena. Italia wanakwena kuushangaza ulimwengu.

Kwa maoni yangu italia ina kikosi kizuri ila inaangushwa na mwalimu kwa maana ya kocha. Ukiangalia ile back line yao sijaona kama kwa ulaya kuna back line bara kama wao. Barzagli,Chiellini,Banucci, Damian. Hawa ni moja kati ya beki bora kabisa ulaya.

Viungo wapo vizuri. Veratti na wenzie. Zaza,immobile,belotti ni attacking wazuri tu. Wanafunga magoli mengi tu kwenye ligi huko ulaya. Kinachotuangusha cc kama waItalia in mwalimu. Leo Sweden anapigwa a take asitake. Italia kwenßa Russia ni lazima kama ilivyo lazima kwa kifo

Kifo ni lazima mzee 072!
Kushinda=inshalah
 
Yan. Inaskitisha sana kuona nchi kama Italy
Inakosa kwenda kushiriki world cup
2018 huko Kwa purtin na mvuto wa
Haya mashindano umeisha bingwa
maraa kadhaa anashindwa kwenda
Aiseee

Italy anahitaji ushindi mnono dhid
Ya Sweden jumatatu hii ili afke Kwa purtin
Maana game ya kwanza Italy alichapwa
1 Kwa mtungi ugenini

Sasa nashindwa kuelewa nn
Kimeikumba hii nchi jaman

Maana hawana vita wala nn
Wamezembee tu kama Netherland
Shenz kabsa

Inshalah itapita mkuu
 
Mimi nasikitika sana kuona timu kama Ivory Coast, Ghana, DRC hawatakuwepo. Uganda wamejitahidi sana. Hongera kwa Nchi zote zilizofanikiwa.
Mkuu pole sana nilitamani mimi iwe hivyo na ikawa Morroco wanarudi baada ya miaka 20 baada ya Mustafa Hajji kufanya yake France,Egypt hii ya kina Mo Salah,Tunisia na Senegal yenye age average ya 23 years chini ya captain wa mwaka 2002 mpira unabadilika sana,Italy walishindwa kuweka mipango bora kabisa kwenye grass root tofauti na wajerumani ambao ni wajanja sana kuwekeza huko,Angalia sasa England walichokifanya under 19 kuwa mabingwa hope miaka 3 mbele timu yao itakuwa bora zaidi,
 
Half time patulo na sijui pande zote kama watamaliza wote maana back line ya buruda tayari wawili wana manjano.
 
Back
Top Bottom