Kama Italy ndo wanakosa kwenda Russia 2018 basi round hii world cup Haina maana

Arrivederci Azzurri, Ciao.
s3.jpg
s1.jpg
s2.jpg
s6.jpg
 
Kwa mara ya kwanza Taifa Stars haishiriki hii WC haitakua na mvuto
 
Germany hapo ni kufurahia tu kutolewa kwa italy maana ndio timu inayomsumbuaga pindi wanapokutana, sasa Germany ana nafasi kubwa ya kuchukua kombe 2018
 
Poor Italy____nawapenda sana,ila Sweden imewapenda zaidi.

Bila Argentina/KING MESSI, Aguero,Dybala,Lcardi, De Maria world cup isingenoga.
 
Back
Top Bottom