Lookmalasin
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 925
- 971
Arrivederci Azzurri, Ciao.
Azzuri wamekuwa Abbaya kama namuona ibrahomavic anapiga jaramba.UsipI iheshimu defence ya Sweden unakuwa huitendei haki jamaa muda mwingi wameshambuliwa wakahimili mikiki
Habari yako mkuu, kitambo sana aisee. Salama ?Kwa huu mpira anaocheza Italy wacha wasiende tu..wakajipange na mwenzake Uholanzi
north korea huyoooooooooooooooo world cup
italy bado ngoma ngumu
Lindelof na yule captain wao duh kamawe wajukuu wa mussolin hawatawasahau ila duh azzuri sio kwamba nambeza ila gabbiadin kweli? unataka kwenda kwa putin nae akiongoza mashambulizi?Swadaqta mkuu defence yao ipo imara mno.wangepita walatino ingependeza zaidi.
Kweli mkuu timu kama Iceland inatishia giantsNyakati zimebadilika timu underdogs nyakati hizi zime improve
Niliangalia mechi ya France Vs Belarus nilishangaa Wale Belarus walivyokua commited na wakicheza kwa confidence ya hali ya juu France walipata matokeo kwa shida sanaKweli mkuu timu kama Iceland inatishia giants
Lindelof na yule captain wao duh kamawe wajukuu wa mussolin hawatawasahau ila duh azzuri sio kwamba nambeza ila gabbiadin kweli? unataka kwenda kwa putin nae akiongoza mashambulizi?
Germany hapo ni kufurahia tu kutolewa kwa italy maana ndio timu inayomsumbuaga pindi wanapokutana, sasa Germany ana nafasi kubwa ya kuchukua kombe 2018
Sio kwelimb
mbona Tanzania hakuna vita lakini hatujawahi kufuzu hata kombe la Africa