Papa Mopao
JF-Expert Member
- Oct 7, 2009
- 4,166
- 2,670
Wewe ni Baba/Mama/Kaka/Dada au Mlezi, una mtoto/watoto/wadogo zako mdogo/wadogo labda wa kuanzia miaka 4 na kuendelea hadi ukubwani huko tuseme miaka labda 25 hivi au kuendelea.
Sasa mtoto/watoto/wadogo zako w/anapofanya kosa au w/amefanya kosa fulani, je katika kumrekebisha/kuwarekebisha w/asirudie kufanya kosa hilo katika siku za mbeleni.
Utachukua hatua zipi?
1. Kumuelimisha wanao/mwanao au mtoto/watoto/wadogo zako
2. Kumchapa/kuwachapa viboko, ili w/asirudie kufanya kosa hilo.
Na kama ulitumia eitha mojawapo wa hizo njia au zote mbili na mtoto/watoto/wadogo zako bado w/anaendelea kufanya kosa tena na tena na tena.
Je, hapo wewe utafanyajeeeee?
Tuzungumze kuhusu hilo jamani,nadhani na wengine wanaweza wakapata shule kupitia hii mada. Karibuni!
Sasa mtoto/watoto/wadogo zako w/anapofanya kosa au w/amefanya kosa fulani, je katika kumrekebisha/kuwarekebisha w/asirudie kufanya kosa hilo katika siku za mbeleni.
Utachukua hatua zipi?
1. Kumuelimisha wanao/mwanao au mtoto/watoto/wadogo zako
2. Kumchapa/kuwachapa viboko, ili w/asirudie kufanya kosa hilo.
Na kama ulitumia eitha mojawapo wa hizo njia au zote mbili na mtoto/watoto/wadogo zako bado w/anaendelea kufanya kosa tena na tena na tena.
Je, hapo wewe utafanyajeeeee?
Tuzungumze kuhusu hilo jamani,nadhani na wengine wanaweza wakapata shule kupitia hii mada. Karibuni!