ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 44,205
- 50,941
Awamu ya 5,ukimtoa marehemu Rais Magufuli,hakuna mtu mwingine aliweza kumgusa Makonda.Alikiwa anaogopwa kushinda VP na PM.
Awamu ya 6, Ukimtoa Rais Samia, hakuna Kiongozi mwingine anaogopwa kama Mwenezi Makonda, hakuna Cha VP Wala PM au NPM.
Kwa siasa za Tanzania zinavyokwenda,msije kushangaa baada ya Samia akawa Makonda ingawa Kwa jambo hili Mimi siliungi mkono Kwa sababu tutarudi kule kule tulikotoka.
Makonda anafaa kuwa kwenye nafasi ambayo anadhibitika,Makosa yakiyofanyika Kwa Magufuli hayatakiwi kurudiwa ila Kwa kuwa kitu muhimu Kwa ccm ni madaraka,msije kushangaa Makonda kuwa mgombea Urais ,itategemea na Haki ya upepo wa siasa wa kipindi hicho.Magufuli aliwekwa kuokoa jahadi na huyu anaweza kuja kuwekwa kuokoa jahazi.
View: https://twitter.com/millardayo/status/1754806236451652058?t=E2eW4Bt6kT6MLqTyjqOJEw&s=19
Swali.
Nini Siri ya Makonda kuaminiwa na Ma Rais? Je ana kitu Cha ziada? Muda utaongea.
View: https://www.instagram.com/reel/C3AfThPK91l/?igsh=ZXJuYWxlbWY0dXpv
Awamu ya 6, Ukimtoa Rais Samia, hakuna Kiongozi mwingine anaogopwa kama Mwenezi Makonda, hakuna Cha VP Wala PM au NPM.
Kwa siasa za Tanzania zinavyokwenda,msije kushangaa baada ya Samia akawa Makonda ingawa Kwa jambo hili Mimi siliungi mkono Kwa sababu tutarudi kule kule tulikotoka.
Makonda anafaa kuwa kwenye nafasi ambayo anadhibitika,Makosa yakiyofanyika Kwa Magufuli hayatakiwi kurudiwa ila Kwa kuwa kitu muhimu Kwa ccm ni madaraka,msije kushangaa Makonda kuwa mgombea Urais ,itategemea na Haki ya upepo wa siasa wa kipindi hicho.Magufuli aliwekwa kuokoa jahadi na huyu anaweza kuja kuwekwa kuokoa jahazi.
View: https://twitter.com/millardayo/status/1754806236451652058?t=E2eW4Bt6kT6MLqTyjqOJEw&s=19
Swali.
Nini Siri ya Makonda kuaminiwa na Ma Rais? Je ana kitu Cha ziada? Muda utaongea.
View: https://www.instagram.com/reel/C3AfThPK91l/?igsh=ZXJuYWxlbWY0dXpv