Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,281
- 7,061
Hii ipo wazi shujaa yoyote yule ambae anajitoa kupambania taifa lake ili kulinda taifa lake alafu inatokea anafariki kwa utata kiasi cha kila mtu kutoamini kama alifariki kwa natural death damu yake haiwezi kwenda bure.
Angalia Drc na Burkinafaso damu za mashujaa Patrice Lumumba na Thomas Sankara bado zinawatafuna.
Angalia Drc na Burkinafaso damu za mashujaa Patrice Lumumba na Thomas Sankara bado zinawatafuna.