Du!! umenikumbusha zile chu* za 007 zenye backol ya shaba na suruali za krimpulini zilizosukwa mifukoni arafu dem unazengea mwaka mzima kwa kuvizia njia anayopendelea kupita.Ama kweli tumepoteza uasili.
Mkuu Bujibuji umenikumbusha mbali! Nimekumbuka vile vitanda vya chuma: a.k.a BANKO. Vilikuwa na spring za chuma katikati. Vitanda hivi vilikuwa vidogo kweli kweli- 3ft!
Iliitwa kanga bwana. siyo kwanga. yote mmesema ila mmesahau picha lazima zikapigwe studio ukiwa umeshika kiuno nyuma pazia jekundu au la bluu. na ua pembeni yako. lol nyimbo zetu zilikuwa za akina kilimanjaro jazz band na ottu jazz band.