Kama haujaoa/kuolewa na hunampango wa kuoa/kuolewa au kutongoza tupeane changamoto na kujuzana hapa

GOLDGREEN9

JF-Expert Member
Jun 14, 2016
351
216
Mimi napenda kuishi bila mke au mtoto (child by blood) hivyo napenda kuzijua changamoto kuhusu hili.Moja kati ya changamoto ni kuzuia hisia za kimapenzi ambazo nimefanikiwa kuzizuia kwa 65% kwa kufanya yafuatayo;

1)Kufanya tahajudi.
2)Kushughulisha ubongo kila wakati katika analysis mbalimbali za kutatua. matatizo katika jamii.
3)Kuangalia filamu za kunifurahisha (mind relaxation)

Napenda kujua njia nyingine pia!
 
Kupiga punyeto
Itakusaidia kuua nguvu zako za kiume na kutoweza kabisa kupata mtoto wala kuoa
unatakiwa upige nyeto kutwa mara tatu hadi VOLUME ipungue kabisa ifikie hatua unatoa vitone tu hii itakupelekea kutokuwa na hisia na wanawake kabisa
 
Mim napenda kuishi bila mke au mtoto (child by blood) ,hivyo napenda kuzijua changamoto kuhus hili.Moja kati ya changamoto ni kuzuia hisia za kimapenzi ,Ambaz nimefanikiw kuzizuia kwa 65% kwa kufanya yafuatayo;

1)kufanya tahajudi
2)Kuushughulisha ubongo kila wakati katika analysis mbalimbali za kutatua matatizo ktk jamii
3)kuangalia filamu za kunifurahisha (mind relaxation)

Napenda kujua njia nyingine pia!
Upige nyeto Mara tatu kwasiku alafu usile uone
 
Duuh bro unakata maji ya bombani kwa mkasi! hakika nakuambia, libido haina mjanja, mi nakushauri kabla hujachukua uamuzi huo onana na mtaalamu wa afya akupe muongozo juu ya jambo unalotaka kufanya, LIBIDO ni sehemu ya maisha yako utake usitake!
 
3/4 years back nilikuwa nasema habari kama hizi, maza akaniambia ni utoto tu. Siku hizi nikiona brothas walking their little ones to school, play fields or spending time with their families, I crave for that.

So I'mma tell you like I was told; ni utoto tu. No disrespek.
 
Mi nampenda mwanadada ambaye hana mpango wa kuolewa ili niishi nae kama rafiki tu na si kama mke au mpenzi ndani ya nyumba moja vitanda viwili katika vyumba viwil tofauti.
 
Back
Top Bottom