Lucha
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 9,694
- 34,422
Kujiriwa ni utumwaWatoto wakishua bana..!!!
Haya, umeikata ajira kwasababu una option..
#YNWA
Kujiriwa ni utumwaWatoto wakishua bana..!!!
Haya, umeikata ajira kwasababu una option..
#YNWA
Kujiriwa ni utumimejadiliana na shemeji mume wa dada nimemwambia siwezi kwenda huko ngoja nisubiri nafasi zingine mwakan
Anaongea hivi mtu anaishi mjini kwa kutegemea kiuno cha dada ake.Kujiriwa ni utumwa
Ushakua mtumwa sugu wewe unaamini kuajiriwa ndo kuyapatia maisha tulia utumikeAnaongea hivi mtu anaishi mjini kwa kutegemea kiuno cha dada ake.
Unadhani siku Shemeji akikasirika unachako hapo?
Anaongea hivi mtu aliyemwambia Shemeji "Nita apply mjini"
Mashemeji wanakazi sanaa ya kulea.
#YNWA
Tulia utumikie mauno ya dada Ako.Ushakua mtumwa sugu wewe unaamini kuajiriwa ndo kuyapatia maisha tulia utumike
Mambo yalishabadilika mkuu, sasa tunaongea kwa uhuruHivi enzi za Magu,mtu angeanza kudekadeka hivyo,eti anataka kubadili kituo huku hata kuripoti Bado,si mzee angetoa maeoekezi ya haraka kua ambao hawataki wasiende na nafasi zao zigawiwe kwa wengine haraka?
Kwanza ngoja nifanye utaratibu wa kuwasiliana na watu wa TAMISEMI,hizo nafasi zichangamkiwe haraka sana,eboo! hivi deadline ya kuripoti ni lini kwa anayejua,ili hayo ma-gepu yajazwe haraka?
Bora ukiomba usipate ili hiyo nafasi wapate wengine wenye kiu ya kuishi popote ilia wapate rizikiHoja ya kijinga Sana
Mimi Sina hiyo ajira na nikiipata Form day one tu naanza mchakato wa kuhamia DSM, ungekuwa na Hoja endapo ungesema wanaacha kazi(Hawaripoti kazini) kumbe kuhama vituo ni lengo na ndoto za 99% ya watumishi kuhama vituo.
Njaa usidumaze Reasoning
Wewe ni ComedianNimepata nafasi lakin ni kijijini sana nimejadiliana na shemeji mume wa dada nimemwambia siwezi kwenda huko ngoja nisubiri nafasi zingine mwakan
Itaje Arusha mjini haraka au hatua kali za kinidhamu zitakufatiaTanzania ni dsm na mwanza huko kwengine ni maporini na mashambani.
Acha tujazane karibu na dsm...ndio kwenye huduma zote bora za kijamii..maji safi..umeme..miundombinu bora..hospitali vyuo na starehe kama kidimbwi.
Karibu dsm toka huko uswekeni utachakaa.
#MaendeleoHayanaChama
#MaendeleoHayanaChama
Mkuu nenda karipoti kituoni kwako baada ya mwaka unahama, Mimi kutuo changu Cha kazi Cha kwanza kilikuwa Lindi wilaya ya liwale Kijiji Cha Kikulyungu, ni kijijini hasa, baadae nilihamishiwa Mpigamiti huko huko liwale nako ilikuwa kijijini hasa, simu Ni kwa ajili ya kumlikia na kusikiliza miziki, ukiwasiliana na ndugu wakati wa kuja mjini kuchukua mshahara hiyo imetoka hadi mwezi ujao ndo utawasiliana nao tena .Nimepata nafasi lakin ni kijijini sana nimejadiliana na shemeji mume wa dada nimemwambia siwezi kwenda huko ngoja nisubiri nafasi zingine mwakan
DuhMkuu nenda karipoti kituoni kwako baada ya mwaka unahama, Mimi kutuo changu Cha kazi Cha kwanza kilikuwa Lindi wilaya ya liwale Kijiji Cha Kikulyungu, ni kijijini hasa, baadae nilihamishiwa Mpigamiti huko huko liwale nako ilikuwa kijijini hasa, simu Ni kwa ajili ya kumlikia na kusikiliza miziki, ukiwasiliana na ndugu wakati wa kuja mjini kuchukua mshahara hiyo imetoka hadi mwezi ujao ndo utawasiliana nao tena .
Leo hii Niko eneo la mjini ambako Hadi muda huu na type hapa namtumia smartphone na mtandao unasoma H++
Sio kweliKuna madogo wawili mmoja amepelekwa katavi mwingne kigoma
Wamekataa kwenda kabsaaa
Wapo private hapa dar tunakula maisha
Watu waliozoea Dar huwatoiKuna madogo wawili mmoja amepelekwa katavi mwingne kigoma
Wamekataa kwenda kabsaaa
Wapo private hapa dar tunakula maisha
Sasa wanajua Tamisemi ni mambo ya vijijini kwa asilimia kubwa halafu wanaomba hizo nafasi huku wakijua hawatoenda, wamezingua wangeachia wengine hizo nafasi kwa kutoapplyKuna madogo wawili mmoja amepelekwa katavi mwingne kigoma
Wamekataa kwenda kabsaaa
Wapo private hapa dar tunakula maisha