Kama hamtaki kwenda Vijijini tupeni hizo nafasi tunaotaka kwenda

Unataka hao wanaoishi kwenye hayo mazingira harsh wakapewe huduma na nani?
Na hao wasioweka mazingira salama ya kazi. Mfanyakazi ana haki zaki za msingi, mfungwa mwenyewe ana hatia lkn huduma mhimu ni lazima azipate kutoka kwa waliokabidhiwa majukumu hayo ya kuwalea sembuse mwajiriwa. Hebu achana na roho ya kutu na kinyama kwa watu.
 
unatesekea pande za wapi aseee.unaongea habari za kifala kama serikali ya baba yako
Tafuta kazi ya kufanya.acha mawazo ya kimasikini ivo
Nateseka kutoka hapa mjini tunapogawiwa maji na umeme.

Serikali ya Baba yako imeninyima ajira, ingekuwa ya baba yangu isingeninyima.

Ukiwa umeshiba na ukasikia habari zisizokupendeza unaanza kuhisi ni za kimasikini. Haya nipe kazi na mimi nishibe kama wewe
 
Na hao wasioweka mazingira salama ya kazi. Mfanyakazi ana haki zaki za msingi, mfungwa mwenyewe ana hatia lkn huduma mhimu ni lazima azipate kutoka kwa waliokabidhiwa majukumu hayo ya kuwalea sembuse mwajiriwa. Hebu achana na roho ya kutu na kinyama kwa watu.
Wewe ndio una roho ya kutu, unashikilia kote hata ambapo hupataki, achia wanaotaka wewe subiri nafasi zingine au kafanye mambo yako binafsi palipo na huduma zote unazozitaka
 
Wewe ndio una roho ya kutu, unashikilia kote hata ambapo hupataki, achia wanaotaka wewe subiri nafasi zingine au kafanye mambo yako binafsi palipo na huduma zote unazozitaka
Unamaanisha serikali iwe inapitia barua mstari kwa mstari kuwa huyu anataka kijijini? Ilaumu serikali kwa kushindwa kusoma barua za maombi ya kazi huenda ungepata maana uliomba kufanya kazi hata sehemu isyo na maji. Acha walioomba sehemu zenye mazingira mazuri wakapelekwa unakokutaka waombe kuhama. Usihuzunike kwa kukosa hata huko ndani ndani wasikopenda wenzio. Hii yote ni kutokana na ugumu wa maisha uko tayari kuishi kama mfugo usio na haki
 
Nateseka kutoka hapa mjini tunapogawiwa maji na umeme.

Serikali ya Baba yako imeninyima ajira, ingekuwa ya baba yangu isingeninyima.

Ukiwa umeshiba na ukasikia habari zisizokupendeza unaanza kuhisi ni za kimasikini. Haya nipe kazi na mimi nishibe kama wewe
Diagnosis and Prescription ya nyokooo tangulia kijini ukalime
 
Punguza mdomo usaidiwe mbwa ww
Shida yake anaona aliyebahatika kupata ajira hastahili kutoona mazingira ya kazi si rafiki basi akomae tu. Hawa ndo wale type ya watumishi wanaochapwa viboko mbele ya wanafunzi na wanatega matako kabisa maana kupata kazi kwao lilikuwa jambo ambalo halikutarajiwa.
 
Unamaanisha serikali iwe inapitia barua mstari kwa mstari kuwa huyu anataka kijijini? Ilaumu serikali kwa kushindwa kusoma barua za maombi ya kazi huenda ungepata maana uliomba kufanya kazi hata sehemu isyo na maji. Acha walioomba sehemu zenye mazingira mazuri wakapelekwa unakokutaka waombe kuhama. Usihuzunike kwa kukosa hata huko ndani ndani wasikopenda wenzio. Hii yote ni kutokana na ugumu wa maisha uko tayari kuishi kama mfugo usio na haki
Kwahiyo wewe unataka Serikali itambue wanaotaka kwenda kwenye mazingira mazuri na iwapangie huko?

Kwanini usingeandika kwenye barua kuwa hutaki mazingira magumu na endapo ukipangiwa huko, hautaenda ili usiwasumbue kama sasa.

Serikali huwa inapambanua kuwa mhitaji kazi atapangiwa sehemu yeyote yenye uhitaji na hakutakuwa na mabadiliko ya kuhama hadi angalau ufanye kazi kwa miaka 3.

Sasa ninyi wapumbavu mlioshiba, mnapewa nafasi halafu mnaanza kunyanyua pua na kupanua midomo, eti siwezi kwenda kuishi kama mnyama, acheni hizo nafasi waende wanaotaka.
 
Diagnosis and Prescription ya nyokooo tangulia kijini ukalime
Iambie serikali ya baba yako inipe mashamba nikalime, tusipolima ninyi mnaoishi mjini sijui mtakula vyakula vya kwenye makopo vilivyosindikwa kutoka majuu maana vyakula mnatutegemea wakulima.

Narudia na kusisitiza, kama hupataki sehemu usiombe hiyo kazi, unazibia wengine riziki wanaotaka. Mtu unapewa nafasi unaanza kusumbua tena hata bado hujaifanya hiyo kazi.
 
Shida yake anaona aliyebahatika kupata ajira hastahili kutoona mazingira ya kazi si rafiki basi akomae tu. Hawa ndo wale type ya watumishi wanaochapwa viboko mbele ya wanafunzi na wanatega matako kabisa maana kupata kazi kwao lilikuwa jambo ambalo halikutarajiwa.
Unafikiri wote tukikimbilia mjini, nani atatoa huduma huko kijijini kwa bibi yako? Rudi kapeleke huduma huko ulikotoka, usijifanye unazijua haki za mtumishi ili uache kumhudumia bibi yako anayeishi kama mnyama ambapo wewe hutaki kuishi hivyo
 
Kwahiyo wewe unataka Serikali itambue wanaotaka kwenda kwenye mazingira mazuri na iwapangie huko?

Kwanini usingeandika kwenye barua kuwa hutaki mazingira magumu na endapo ukipangiwa huko, hautaenda ili usiwasumbue kama sasa.

Serikali huwa inapambanua kuwa mhitaji kazi atapangiwa sehemu yeyote yenye uhitaji na hakutakuwa na mabadiliko ya kuhama hadi angalau ufanye kazi kwa miaka 3.

Sasa ninyi wapumbavu mlioshiba, mnapewa nafasi halafu mnaanza kunyanyua pua na kupanua midomo, eti siwezi kwenda kuishi kama mnyama, acheni hizo nafasi waende wanaotaka.
Mbona watu huwa wanaandika. Uzembe wao kupitia tu zile barua. Mpumbavu ni ww uliye radhi kunyanyasika kisa ajira, hakuna mtu anayejielewa atafurahia kuishi mazingira hatarishi.
 
Unafikiri wote tukikimbilia mjini, nani atatoa huduma huko kijijini kwa bibi yako? Rudi kapeleke huduma huko ulikotoka, usijifanye unazijua haki za mtumishi ili uache kumhudumia bibi yako anayeishi kama mnyama ambapo wewe hutaki kuishi hivyo
Watu hawakimbilii mijini, watu wanakimbia hatari ya mazingira. Utaenda kunyanyua nini na chaki zako huku hujui maji utatolea wapi? Sasa nirudi kwa bibi kijijini kumfanyia nini wakat yeye hasomi? Usipende kuwa km zezeta wewe, unaona kabisa mazingira si rafiki we upo tu unaishi kama poyoyo. Kimbia ili wahusika wawe na akili wapeleke miundombinu mizuri na mazingra mazuri kwa binadamu
 
Endelea kubweka hapo theatre, acha wanaume tuendelee kupigania tunachokiamini
Peleka barua yako tamisemi waambie wakugawie kituo cha kazi kinachokimbiwa na watu wote na ukiwaahidi hutohama. Acha watu wafanye wanachoona ni sahihi kwao, maana kila mtu anajilinda kivyake.
 
Back
Top Bottom