Goliath mfalamagoha
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 602
- 2,505
Kwa Kuwa Hakimu Amekiri Kuwa Kesi ya Sugu Inampa Wakati Mgumu, Kwa Nini Inakuwa Ngumu Kwake Kujitoa Kama Sugu Alivyowasilisha Malalamiko ya Kutokuwa na Imani Naye.
Kwa Kuwa Hakimu Amekiri Kuwa Kesi ya Sugu Inampa Wakati Mgumu, Kwa Nini Inakuwa Ngumu Kwake Kujitoa Kama Sugu Alivyowasilisha Malalamiko ya Kutokuwa na Imani Naye.
Ukweli kwenye kesi hii kuna mashaka mengi,,, lakini kauli ya kumtisha hakimu uliyotumia siyo njema sana .Hakimu anaonekana kabisa kuna kitu anaka kukifanya juu ya sugu Na mwenzake! Huyu niwakufatilia kwa karibu kwa namna Na njia yoyote hile, labda akimbilie Rwanda akishatoa hiyo hukum
Labda aende Kenya, Rwanda si ndo kwa rafiki yake "bwana yule" !!Hakimu anaonekana kabisa kuna kitu anaka kukifanya juu ya sugu Na mwenzake! Huyu niwakufatilia kwa karibu kwa namna Na njia yoyote hile, labda akimbilie Rwanda akishatoa hiyo hukum
Yeye ni mbunge je kisheria hadhaminiwi? Uache uchama! Hakimu hataki dhamana yaani anapata dhambi ndio maana wakistaafu wanakufa haraka kwa madhambiSugu hana sababu ya maana anachotaka ni kuchelewesha hukumu anajua hachomoki na hii kesi hata yule mganga wake wa Tunduma hawezi kumsaidia
Kitendo cha Chadema kupokea ushauri wangu wa kumkataa hakimu kimevuruga mipango yote aliyopanga Kamanda Mpinga kwa kushirikiana na Tulia AcksonHuyu hakimua anawakati mgumu sana nachojua mbeya atujawai kua wajinga
Sema mganga wenuSugu hana sababu ya maana anachotaka ni kuchelewesha hukumu anajua hachomoki na hii kesi hata yule mganga wake wa Tunduma hawezi kumsaidia
Tumemkataa hakimu wenu yule mliyepanga naye njama na tutamkataa hadi ajitoe mwenyewe na akibisha tunatinga mahakama kuu kumkataa kabisa.Sugu hana sababu ya maana anachotaka ni kuchelewesha hukumu anajua hachomoki na hii kesi hata yule mganga wake wa Tunduma hawezi kumsaidia
dhamana ya nini wakati hukumu ipo tayari?Yeye ni mbunge je kisheria hadhaminiwi? Uache uchama! Hakimu hataki dhamana yaani anapata dhambi ndio maana wakistaafu wanakufa haraka kwa madhambi
hakimu anayo haki ya kukataa kujitoaTumemkataa hakimu wenu yule mliyepanga naye njama na tutamkataa hadi ajitoe mwenyewe na akibisha tunatinga mahakama kuu kumkataa kabisa.
Ni heri kuchelewa kuliko kuwahi ujinga , na hakimu akileta ujinga tutahakikisha anafukuzwa kazi .
hahah mganga wake na SilindeSema mganga wenu
Huyu tutamlazimisha ang'oke kwa nguvu ya kisheria , hakuna hakimu yeyote aliyegeuka mlalamikaji kwa kula njama na walalamika , huyu mshamba Mteite ndiye aliyeshiriki kuedit zile tape akishirikiana na polisi hata kabla kesi haijaanza , asipoangalia tutamfunga kifungo kibaya sanahakimu anayo haki ya kukataa kujitoa
Mganga wenu pamoja na wewehahah mganga wake na Silinde
Tutawashinda kirahisi sana .dhamana ya nini wakati hukumu ipo tayari?