Utawala wa kifalme wa ufaransa uliangushwa na wadai haki ya huduma, Jana nikimuangalia Pinda nikakumbuka history ya ufaransa. Kauli za kucheka cheka za pinda Jana zilinishangaza sana, je wasomi wetu wana uwezo wa kulinda utuwao?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.