Katika Mawio la jana, inasemekana CHADEMA walilazimika kutunga sheria ya wake na wachumba na mahawala wa viongozo wa chama, kuingilia maamuzi ya chama. Sasa ndo napata picha kwamba, endapo Slaa angepata u Rais, basi 'festiledi' angetoa maamuzi mengi ya kushinikiza ikiwa ni pamoja na kuwatafutia ndugu zake kazi ikulu kwa lazima. Mungu ametuepusha na hii shali.