ikigoma iwachu
Member
- Aug 23, 2013
- 71
- 10
Daaaa pamoja na kwamba kiasi flani mnawainua wasanii wa Hapa nyumbani ila hampo sawa kwa msanii Lady j dee! kama haujanielewa sikiliza clouds fm wiki ijayo kwenye wimbo wa BEN POL. Jikubali pale anapolitaja jina la j dee. wameminya ile mbaya. Najiuliza kumshirikisha jide tu kunaweza pelekea usipate sapoti ya media hii ambayo inajiita Radio ya watu! Watz bwana! yaani mtu kueleza ukweli jinsi anavyoibiwa kosa. Hata kama hammpendi j dee basi wimbo ni wa ben paul basiii hakuna haja ya kulibana jina la jdee. Radio gani ya watu yenye ubaguzi? Walipeni cha kwao ila msiwaibie kwa kigezo cha kuwanyima airtime kwenye kiredio chenu. ikumbukwe kwenye vikwazo ndo fursa hizo. siungi mkono huo utaratibu wenu. wewe Kusaga na nani na nani........ mjipangeeeeeeeeeeeeeeee.