Kama CCM ikishinda, ni chama kipi cha upinzani kitaibuka nafasi ya pili na ya mwisho kwenye uchaguzi ?

Kama CCM ikishinda, ni chama kipi cha upinzani kitaibuka nafasi ya pili na ya mwisho kwenye uchaguzi ?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,836
Katika vyama vya siasa 17 vyenye wagombea urais waliothibitishwa na tume huru ya Taifa ya uchaguzi kushiriki uchaguzi mkuu wa October 29,2025, ni wazi CCM itaibuka mshindi wa jumla kwenye urais, ubunge na udiwani, kwa namna ilivyojipanga na kujiandaa.

Kama mdau wa jukwaa hili makini la siasa, ukitathimini kwa makini, ni chama kipi cha siasa miongoni mwa vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kinachoweza kuibuka na kura nyingi zaidi baada ya CCM, ukilinganisha na vyama vingine vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
 
CCM walishashinda zamani,kinachofanyika ni kukamilisha ratiba na kuhalalisha matumizi ya pesa za walipa kodi,ambao tunahamasishwa tulipe kodi bila kukwepa.
 
Katika vyama vya siasa 17 vyenye wagombea urais waliothibitishwa na tume huru ya Taifa ya uchaguzi kushiriki uchaguzi mkuu wa October 29,2025, ni wazi CCM itaibuka mshindi wa jumla kwenye urais, ubunge na udiwani, kwa namna ilivyojipanga na kujiandaa.

Kama mdau wa jukwaa hili makini la siasa, ukitathimini kwa makini, ni chama kipi cha siasa miongoni mwa vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kinachoweza kuibuka na kura nyingi zaidi baada ya CCM, ukilinganisha na vyama vingine vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.
sijaona neno gentleman humo,kulikoni?
 
Tukuulize wewe huko jikoni mmepangaje hayo matokeo
uamuzi wa wanainchi kupitia box la kura,
lakini pia hilo ni jukumu na haki ya wanainchi na si vinginevyo ndugu mdau.

na hapatakua na jiko la kupikia kwenye kituo chochote cha kupigia kura 🐒
 
CCM walishashinda zamani,kinachofanyika ni kukamilisha ratiba na kuhalalisha matumizi ya pesa za walipa kodi,ambao tunahamasishwa tulipe kodi bila kukwepa.
Gentleman,
kwa tathmini yako fupi na mambo namna yanavyokwenda, ni chama kipi cha siasa cha upinzani kitaibuka nafasi ya pili lakini pia nafasi ya mwisho baada ya uchaguzi?🐒
 
Katika vyama vya siasa 17 vyenye wagombea urais waliothibitishwa na tume huru ya Taifa ya uchaguzi kushiriki uchaguzi mkuu wa October 29,2025, ni wazi CCM itaibuka mshindi wa jumla kwenye urais, ubunge na udiwani, kwa namna ilivyojipanga na kujiandaa.

Kama mdau wa jukwaa hili makini la siasa, ukitathimini kwa makini, ni chama kipi cha siasa miongoni mwa vyama vya upinzani vinavyoshiriki uchaguzi mkuu, kinachoweza kuibuka na kura nyingi zaidi baada ya CCM, ukilinganisha na vyama vingine vya siasa?🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

 
uamuzi wa wanainchi kupitia box la kura ni jukumu na haki ya wanainchi na si vinginevyo ndugu mdau.

na hapatakua na jiko la kupikia kwenye kituo chochote cha kupigia kura 🐒
Screenshot_20250824-113512~2.png
 
Back
Top Bottom