Umenikumbusha mpiga picha wetu wa mtaa miaka ile alikuwa anaitwa Msafiri. Anatembea na kamera yake ukimuita anakupiga picha Tsh 200 moja akisafisha mkanda baada ya wiki anakuletea picha yako.
Mapozi yake akiwa akapiga picha yalikuwa saa ingine yanakufanya picha zote unazo piga utokee umecheka bila kujijua.