Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,286
- 10,831
Jana nilikuwa msibani wadau... huu msiba jamaa alikunywa sumu.... sasa kabla hawajamzika ndo waktangaza kama kuna anayemdai marehemu aje wamlipe.
Kuna jamaa mmoja alijitokeza na kudai kuwa sumu aliyokunywa alikuwa amekopa kwake na anataka hela yake irudishwe coz ndio faida yenyewe
Kuna jamaa mmoja alijitokeza na kudai kuwa sumu aliyokunywa alikuwa amekopa kwake na anataka hela yake irudishwe coz ndio faida yenyewe