Kali ya majambazi!

Yegoo

JF-Expert Member
Joined
Nov 14, 2012
Posts
1,434
Reaction score
510
Kuna majambazi walifanikiwa kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri taarifa ya habari Itangaze tumeiba Sh Ngapi!
 
Kuna majambazi walifanikiwa
kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika
sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja
akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri taarifa ya habari Itangaze tumeiba
Sh Ngapi!

i like it
 
Kuna majambazi walifanikiwa kuingia Bank na kuiba Pesa nyiingi,na kufanikiwa kutoroka, wakafika sehemu wakaanza kuzihesabu, hadi wakachoka kuhesabu! Mmoja akawambia"Oyaa mi nimechoka,tusubiri taarifa ya habari Itangaze tumeiba Sh Ngapi!

I like it too..!
 
wala si wakumsifia, huo wote ni uvivu wa wabongo.
 
Chezea waloibiwa nini..
Wataongeza cha juu,inkase kuna compansation wattu sana tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…