Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
Hii ni kali nyingine ya Viongozi wa Simba.
Wakati dirisha la usajili likifungwa juzi,imethibitika kuna majina yame'appear kwenye team zaidi ya moja,1 wapo ya majina hayo ni la Kelvin Yondani maarufu kama "Vidic" ambaye jina lake limejumuishwa kwenye usajili wa Yanga na Simba.
Akiongea na waandishi wa habari Katibu Mkuu wa TFF Angetile Osiah alisema ili usajili wa mchezaji ukamilike Club inatakiwa iwasilishe TFF kabla ya dirisha la usajili kufungwa Form 2,1 inayoitwa Form Mama ambayo inakuwa na majina ya wachezaji wote na ya 2 Form ya usajili wa mchezaji ambayo inakuwa imejumuisha details zote za mchezaji ikiwemo historia yake,sahihi na dole gumba(finger print), akizungumzia usajili wa Yondani Angetile alisema Yanga ndo iliyowasilisha vielelezo vyote Form Mama na Form ya usajili wa Individual player wakati Simba wamewasilisha jina la Yondani kwenye form Mama tu wakikosa form ya usajili,hivyo katika Form Mama Simba wamewasilisha majina 28 na na katika Individuals form 27,aidha wakati Yanga wakiwasilisha mkataba hai wa mchezaji huyo,Simba wao wamewasilisha mkataba uliomalizika......(imagine mkataba uliomalizika)!!!!!!
My take:
Masuala haya yanasubiri kamati inayohusika na migogoro ya usajili ikae na kuyatolea maamuzi,lkn wakati tukisubiri Kamati hiyo ikae, binafsi najiuliza mara 2,2 kuna matatizo gani kwenye Vichwa vya Viongozi wa Simba,hivi kweli kwa hivyo vielelezo vyao walivyowasilisha TFF ikiwa Kamati itabariki Vidic aendelee kukipiga Jangwani kuna Mwana Simba atakayelalamika kweli?
Viongozi wa Simba wamekuwa wakielezea kuwa Yondani ni mchezaji wao halali, binafsi najiuliza halali yao kwa vielelezo gani? Form nusu na mkataba uliomalizika?
Najua Kamati itakapotoa baraka ya Vidic kuendelea kula bata Jangwani watarudi tena kwa wapenzi na wanachama wao na kuwalisha sumu kuwa TFF ni Yanga,siku hizi wameongeza na "ushuzi" mwingine ya kwamba TFF wanapewa hela na baadhi ya Viongozi wa Yanga, sitastaajabu baada ya kulishwa sumu hizo Wapenzi wa Simba wakaja na kitu cha dizaini hii......
Nonsense.
Mashabiki,Wanachama na wote wanaoitakia mema Club ya Simba embu jaribuni kuwaangalia kwa jicho la 3 hao Viongozi wenu,watawazika mkiwa hai...shauri yenu.
Nawasilisha!
Wakati dirisha la usajili likifungwa juzi,imethibitika kuna majina yame'appear kwenye team zaidi ya moja,1 wapo ya majina hayo ni la Kelvin Yondani maarufu kama "Vidic" ambaye jina lake limejumuishwa kwenye usajili wa Yanga na Simba.
Akiongea na waandishi wa habari Katibu Mkuu wa TFF Angetile Osiah alisema ili usajili wa mchezaji ukamilike Club inatakiwa iwasilishe TFF kabla ya dirisha la usajili kufungwa Form 2,1 inayoitwa Form Mama ambayo inakuwa na majina ya wachezaji wote na ya 2 Form ya usajili wa mchezaji ambayo inakuwa imejumuisha details zote za mchezaji ikiwemo historia yake,sahihi na dole gumba(finger print), akizungumzia usajili wa Yondani Angetile alisema Yanga ndo iliyowasilisha vielelezo vyote Form Mama na Form ya usajili wa Individual player wakati Simba wamewasilisha jina la Yondani kwenye form Mama tu wakikosa form ya usajili,hivyo katika Form Mama Simba wamewasilisha majina 28 na na katika Individuals form 27,aidha wakati Yanga wakiwasilisha mkataba hai wa mchezaji huyo,Simba wao wamewasilisha mkataba uliomalizika......(imagine mkataba uliomalizika)!!!!!!
My take:
Masuala haya yanasubiri kamati inayohusika na migogoro ya usajili ikae na kuyatolea maamuzi,lkn wakati tukisubiri Kamati hiyo ikae, binafsi najiuliza mara 2,2 kuna matatizo gani kwenye Vichwa vya Viongozi wa Simba,hivi kweli kwa hivyo vielelezo vyao walivyowasilisha TFF ikiwa Kamati itabariki Vidic aendelee kukipiga Jangwani kuna Mwana Simba atakayelalamika kweli?
Viongozi wa Simba wamekuwa wakielezea kuwa Yondani ni mchezaji wao halali, binafsi najiuliza halali yao kwa vielelezo gani? Form nusu na mkataba uliomalizika?
Najua Kamati itakapotoa baraka ya Vidic kuendelea kula bata Jangwani watarudi tena kwa wapenzi na wanachama wao na kuwalisha sumu kuwa TFF ni Yanga,siku hizi wameongeza na "ushuzi" mwingine ya kwamba TFF wanapewa hela na baadhi ya Viongozi wa Yanga, sitastaajabu baada ya kulishwa sumu hizo Wapenzi wa Simba wakaja na kitu cha dizaini hii......
Nonsense.
Mashabiki,Wanachama na wote wanaoitakia mema Club ya Simba embu jaribuni kuwaangalia kwa jicho la 3 hao Viongozi wenu,watawazika mkiwa hai...shauri yenu.
Nawasilisha!