utaifakwanza
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 14,193
- 2,815
Ni kauli ya Vijana,wazee na kina mama maeneo mbalimbali ya kalenga. Wanasema ccm haina mpinzani, haina wa kuiyumbisha, watawasikiliza,watawatafakari,watacheka nao lakini hawatawapa kura zao. Wataichagua ccm bila kujali imemsimamisha nani.
my take. Hongera wana kalenga
my take. Hongera wana kalenga