Hata Tupac alivyo mwambia Biggie " You claim to be a player but I fucked your wife" kuna watu hawakujua anamzungumzia nani.. Kwa wanao jua kinacho endelea, hiyo diss ya Pina kwa Sugu ipo wazi kama yambuziHata mimi nimejaribu kusoma, hakuna mahali nimeona Sugu ametajwa. Huyo Kalapina kaandika katika hali ya kawaida kabisa. Bii Dis kwa Sugu itakuwa ni ya kulazimisha bila shaka.
Huyu ndo kiongozi wa nyumbu za CHADEMA. Hastahili kuongoza watu wenye akili timamu.
Katika watu enzi zile maskani Block 41, nilikua sipotezi muda kumsikiliza ni KalapinaYes ni mshamba I agree with you
Duh!Pina mtoto mdg sana kwa sugu kuhusu bongo fleva,
Block 41 ,kabla ya maskani kuitwa kikosi Cha mizinga, ilikua inaitwa Indiana na Sugu alikua mmoja wapo na Hashim Dogo
Hivi bado ni Diwani ?..au alishaacha siasa ?Ila kalapina ana u snitch na ubinafsi sana, Kwa wasio mjua
Diwani? Diwani wa wapi ? Aligombea udiwani ila hakushinda , alikua CUFHivi bado ni Diwani ?..au alishaacha siasa ?
Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki.
Kupitia page yake Kalapina ameandika π
"Acheni tule pensheni kidogo huu mziki tumesota nao mno na kama kuna kiumbe ananuna maniga kupata mchongo. Huyo atakuwa mwiba huyo".
Kalapina ni kiongozi wa Kikosi cha mizinga na mwanaharakati matumizi wa dawa za kulevya kwa vijana anajulikana zaidi kwa style yView attachment 3645212ake hii ya kuziba jicho moja.
#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha.
Credi : East Africa TV Facebook Page
Hata flow pia ilikuwa kali sana...alichana sana hii ngoma na mistari ilikuwa mikali sanaMidundo ya majani ilimbeba sana kalapina
Naunga mkono hoja waache wana waokote ,kalapina mpaka sasa anapanda DALADALA hana hata KABUNJU.Nabii Koko Kalapina anasema watu wawaache wasanii wakongwe wale pensheni zao na michongo mingine ya kuwaingizia pesa sababu wamesota sana na huu muziki.
Kupitia page yake Kalapina ameandika π
"Acheni tule pensheni kidogo huu mziki tumesota nao mno na kama kuna kiumbe ananuna maniga kupata mchongo. Huyo atakuwa mwiba huyo".
Kalapina ni kiongozi wa Kikosi cha mizinga na mwanaharakati matumizi wa dawa za kulevya kwa vijana anajulikana zaidi kwa style yView attachment 3645212ake hii ya kuziba jicho moja.
#EastAfricaTV #TogetherTunawakilisha.
Credi : East Africa TV Facebook Page
Tamasha la CCM πππWe huoni hapo kwenye Uzi Kala Pina anamuita Sugu mwiba? Su hujui maana ya mwiba mkuu? Ni hivi Sugu kalidiss tamasha la miaka 30 ya Bongofleva ndo Pina kamjibu kwa staili hiyo
Sio kweli Dr, identification huwa haipitwi na wakati. Pina tulimjua kupitia Ngoma zake na eye patch ikiwa ndio utambulisho wake how come useme imepitwa na wakati!? Leo hii Jack Sparrow wa Pirates of Caribbean akibadilisha zile outfits zake kwenye movie zile tutamkataa why? Sabab ndio ID yake.Huyo Kalapina bila kubebwa na hao vilaza ataalikwa kuperform show ipi?
Usela mavi wa kuziba jicho moja zima ni wa kizamani sana Marekani walishatoka huko miongo kadhaa.
Yeye ni mwanaharakati wa kuzuia matumizi ya unga kumbe na yeye anavuta?Huyu pina anachekesha kama si ndugu yako. Ukimwona tu choka mbaya afya mgogoro sababu ya unga na bhangi. Eti anamdiss sugu? Hiii dunia hii haiachi kukosa wachekeshaji. Kalapina anashikwa matako na majamaa akiwa bwimbwi hajitambui. Kuna pensheni kweli kwa kalapina? Kwa wimbo mmoja ? Ukikaona kamekoooooooonda kamebaki tu kama mbwa koko aliyenyeshewa.
Yeye ni mwanaharakati wa kuzuia matumizi ya unga kumbe na yeye anavuta?
Isee!π€£π€£95 hiyo I was std 4