pumbatupu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 256
- 82
Ndani ya Pochi ya Wife jamaa anakutana na Business Cards kibao..anaanza kuzisoma.. mara anakutana na moja inayosomeka Bernad. J. Kululetera...Ni HRO wa Kampuni moja hapa Bongo...Kumbukumbu zinamrudisha nyuma..oh.. yes anakumbuka walisoma wote Tosamaganga..a.k.a Tosa...BUT mshkaji kwa mademu alikuwa noma...Jamaa anaanza kupta waswas...anarecord namba za Simu halaf anauchuna...In Few days to come anaperuzi tena simu ya Wife mara anaiona ile namba ikiwa imeseviwa..Cool...Mshkaji anaanza kuweweseka kulikoni?..Ni kwanini Cool badala ya KULULETERA?...au ndo ''romantic abbreviations''?..Kumuuliza wife anashindwa itaonekana jamaa mchokonozi?..Ku'take' eazy anaona haijatulia...Anakuja mbio kwa wadau..Swali lake NIFANYEJE?