SAFI BABA ASKOFU
Akimtolea mfano Mwalimu Nyerere ambapo alisema alikuwa maskini jeuri ambaye alisimamia misingi ya haki na alikuwa tayari kwa lolote ambapo alikuwa radhi madini yasichimbwe yabaki ardhini kwa kuwa yasingeoza kama nyanya na kuongeza kuwa kama kuna mtu yeyote ambaye amepokea rushwa hasa katika kipindi hiki cha kuelekea uchaguzi anatakiwa kutubu.