Mungu hajapatana na ibirisi hadi leo !!Mathayo 5 : 9 INASEMA Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Kakobe si mpatanishi kwa hiyo ni mwana wa IBILISI.
Hakika hapana amani kwa wabaya na wewe hutapata amani Kamwe
Mungu hajapatana na ibirisi hadi leo !!Mathayo 5 : 9 INASEMA Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Kakobe si mpatanishi kwa hiyo ni mwana wa IBILISI.
Huyu ni nani???Mathayo 5 : 9 INASEMA Heri wapatanishi; Maana hao wataitwa wana wa Mungu.
Kakobe si mpatanishi kwa hiyo ni mwana wa IBILISI.
sisi tuta fuatilia hivyo hivyo.Kumbe umeme haupiti mpaka leo?Edit na weka paragraphs kwanza, kwani unakimbia kwenda wapi?
Mbona yeye mwenyewe ni mtumwa wa shetani.
Ahsante kwa kumpashaMungu hajapatana na ibirisi hadi leo !!
Hakika hapana amani kwa wabaya na wewe hutapata amani Kamwe
Jana katika ibada ya Christmas askofu Kakobe alieleza jinsi uchaguzi wa serikali za mitaa ulivyotawaliwa na vurugu na kusababisha watu kupoteza maisha. Alisema ni ishara mbaya sana chaguzi kama hizi zilikuwa zinafanyika kimya kimya hata watu wengine wanakuja kujua umeshaisha, hii ni dalili mbaya kwa uchaguzi mkuu.
Aliataja mambo matatu yanayosababisha na yakifanyiwa kazi uchaguzi utafanyika kwa amani bila vurugu.
1. UCHAGUZI KUTOFANYIKA SIKU ZA IBADA
Alisema chaguzi zinapofanyika siku ya ibada inawafanya watu wengi wasipige kura kwasababu watu lazima watakwenda kwenye ibada kwanza, alisema watawala kwa hofu ya kutoka madarakani wanatumia mbinu nyingi mojawapo ni kuona wanapiga kura watu wachache ili waweze kuiba kura.
Ametolea mfano uchaguzi uliopita amepata taarifa kwa washirika wake walipotoka ibada waliwahi kwenda kupiga kura wakakuta majina yao yametikiwa, kuuliza wakambiwa wameshapiga kura. Alisema uchaguzi ni jambo muhimu sana na ni haki kikatiba.
Siku ya uchaguzi iwe ni sikukuu ya kitaifa maana ziko sikukuu za kitaifa zisizo na umuhimu kama saba saba ambayo ingekuwa sikukuu ya chama baada ya mageuzi ikabadilishwa.
Alisema isipagwe Ijumaa kwa sababu ni ndugu zetu Waislam, Jumamosi ni ya Wasabato na Wakristu kama yeye akitolea mfano nchi zilizo tuzunguka Kenya, Uganda, Malawi na Zambia ufanya Jumatatu au Jumanne, A/ Kusini Jumatano.
2. Dafutari la wapiga kura
Serikali walitakiwa watoe elimu ya uraia wananchi wajue umuhumu wa kupiga kura na ni haki yao kikatiba na uandikishaji usiwe na mizengwe.
3. TUME HURU YA UCHAGUZI
Alisema tume tuliyonayo imeteuliwa na rais ambaye in mwenyekiti wa CCM, akasema anawashangaa wapinzani wanaingia kwenye uchaguzi na tume hii na wanatarajia washinde kwa tume ya CCM.
Alitolea mfano Simba na Yanga washindania mtani jembe wanaenda kucheza refa washika vibendera ni wa Yanga, Simba hata kama wamekwenda mazoezi ulaya hawawezi kushinda.
Alisema mambo haya watawala wana hofu ya kutoka madarakani haya hawawezi kuyafanya kwa kuwaomba hawawezi lazima tupige kelele tuwalazimishe wafanye.
Alisema watawala wamekuwa wanawambia viongozi wa dini waombe amani ni ujinga kuombea amani wanaosema tuombee amani ndiyo wanaondoa amani. Alisema amani na haki ni marafiki wakubwa wamebusiana watawala watende haki amani utaiona.
Alisema haoni sababu chama tawala kuangaika kutafuta mchawi aliyewafanya wachukiwe na wananchi wao ndiyo wenye serikali waondoe kero za wananchi uone kama kuna watakaoshabikia wapinzani, lakini hawana macho ya kuona wananchi wanahitaji nini!!
Aliwaonya kwamba CCM wasiobadilika hakuna kitachowazui kuondoka madarakani, akasema wako watawala walikuwa wanaitwa maprofesa wa siasa kama Moi lakini leo wako wapi!! wanaweza kuua na kung'oa watu kucha kwa hofu ya kutoka madarakani.
Wataondoka madarakani kama Herodi aliyeagiza wauawe watoto wadogo ili kumua Yesu, aliambiwa ni mfalme akafa yeye ndani ya mwaka wakati alikuwa ametawala miaka zaidi ya 30.
Alisema barua aliomwandikia rais ambayo Mungu aliowaonya wasipotubu lazima CCM itabomoka alisisitiza lazima yale yatimie akasema aliwambia hivyo hivyo Lukuvi na Ngeleja kwenye vikao vya swala la umeme pale kanisani kwake, aliwambia umeme hautapita wakacheka lakini leo miaka mitano umeme haujapita mpaka leo.
Na wakati ule aliwaambia TANESCO wamuogope Mungu alisema TANESCO na wizara ya nishati na madini haitatulia hata akitoka Muhongo bado atakayekuja ni tatizo.
Suala la kubadilisha uongozi siyo kweli tukiweka kiongozi mpya hawezi kuleta badiliko alisema marais waliotangulia hakuna anayefanana na mwezake wote kiutendaji ni tofauti na uchaguzi uko jirani sana huu ni wa muhimu sana.
Alisema tuwe makini kwenye kuchagua sifa ya mtu tusipime kwa mambo binafsi au wa dini gani atuchagui kiongozi wa kutujengea makanisa au Miskito wala siyo wakutuongoza kwenda mbinguni bali wa kututoa kwenye umasikini tulionao.
Na maswali ya kuwauliza wagombea ni 2,
Kwanza, kwanini Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali zote tulizo nazo?
Pili, tukimpa atafanyaje kututoa hapa akieleza kinaga ubaga tumpe kama ameshawahi kuwa kwenye uongozi ngazi za juu.
Tatu, alipokuweopo alifanya jitihada gani kufanya hayo?
Mtu asilete porojo kwamba tumchague huyu ni chaguo Mungu,Mungu hatuchangulii viongozi hata mke sembuse kiongozi!!
Kuna watu hudhani mabadiliko huletwa na wanasiasa. Kila wanapoona wasio wanasiasa wanajitokeza ktk harakati huwavunja moyo kwa kuwapa "Mipasho". Muda umefika kila mmoja mwenye kupenda mabadiliko na kupigania haki aone anao wajibu wa kulitumia jukwaa alilonalo kuchochea mabadiliko. Asasi za kiraia, vyombo vya habari, vyama vya wafanyakazi, vyama vya kitaaluma, taasisi za elimu, na wengine wote kwa ujumla wetu tutambue na tusubutu kutimiza wajibu wetu.
Mbona yeye mwenyewe ni mtumwa wa shetani.
"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people." (Eleanor Roosevelt).Mbona yeye mwenyewe ni mtumwa wa shetani.
That is correct"Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people." (Eleanor Roosevelt).