jem_the_great
JF-Expert Member
- Aug 30, 2013
- 289
- 158
Ng'ombe hazeeki maini!!kwa sasa kaka na ronaldinho wanafanya vizur kwenye club zao,yote kwa ajili ya kumshawishi scolari waitwe kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Brazil.na big phil alisema kwamba kati yao mmoja ataitwa kikosini endapo ataonyesha kiwango kizur.Je ni yupi unaona akiitwa ataongeza chachu katika timu???