Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Kaka salam, umekua mahiri sana katika kuzungumzia chama,nadhani pia ni vizuri ukaamua kuwania ubunge ili kujijenga katika hoja za kitaifa kwenye muhimili wa Bunge.Njoo Meru upambane na Nasiri. Bila shaka utashinda kwa umahiri wako wa hoja na ushawshi.Tutapenda sana ukikutana na vijana wengine Bungeni katika kutoa mawazo ya kujenga Nchii hiii. Tangaza nia Kaka.
Aisee we mtu wa ajabu kweli! Yaani unampambanisha Kamanda Nassari na Nape! Acha utani aisee! Ungeniambia unataka kumpambanisha Nassari na Jk kidogo ningekuelewa! Nape hakuna kitu ni brain washed kelele za bure!