“Kaka nakuomba basi unioe “

Ninachokuprove yes kwamba sisi ni chombo cha starehe ni kuwa pia asingekojolewa usingetokea dunian mkuu.Ni kweli tutumie utakavyo ili tuzae wengi kama wewe
 
Halafu muongo tu.

Mjuane siku 5

Muwe mmeshagongana mara 2...upuuzi huu.
Sasa hapo cha ajabu nini?
We utakuwa domo zege au mshamba flani hivi
Siku hizi wanawake wepesi sana ni ujanja wako tu mie nimekutana na mdada tarehe 22 akiwa na jamaa yake nikatumia ujanja nikampa business card ili akiwa free anicheck lakini kesho yake akanicheck nikamuita sehemu mbali kidogo akaja nikamtafuna japo alikiri kabisa yuke jamaa ni mchumba wake anatambulika mpaka kwa wazazi na wanafanya kazi idara moja(ya afya) nimemchapa nao tarehe 23, halafu tarehe 24 mkesha wa Christmas akatoroka akaja nikala mzigo mpaka asubuhi na huwezi amini hata majina yake sikuwahi kumuuliza ndo nimekuja kujua siku nilipomla mara ya pili.
Wanawake wa siku hizi ni wepesi sana we ukiwa mzima mdomoni halafu una kagari ka kuzugia hachomoki unaweza kumsalimia tu ukabeba kwenye gari na kwenda kumla lodge halafu kesho yake ndo unampigia simu kumtongoza
 
Mkuu nipe namba ya huyo bibie nimuoe mimi nina uhitaji sana
 
Siku babaako akikutimua nyumbani kwake ili uanze kujitafutia ugali ndio akili yako itanyooka.
 
Hahaa umeingia kwenye rada za kahaba halafu unajiona mjanja
 
Wew umekutana na Malaya....

Hakuna ujanja Wala nini hapa
 
Mjuba nimekumind kinoma, Kwanini uwadharau dada zetu?,hawa ni Mama zetu bhana!!. Ukisema unawadharau Wanawake wote maana yake unamdharau hata mama yako aliyekuzaa, Sijapenda kwa kweli.Wewe km huwapendi tuachie sisi tunaowapenda,hawa wanatutunuku penzi mida ya usiku mikuyenge ikisimama,wanatuzalia watoto,wanatupikia chakula,wanatufulia nguo,n.k.Kiufupi usimdharau mwanamke,hawa ni watu muhimu sana ktk ustawi wa Jamii.
 
Mwanajeshi huwa hachagui msitu wewe, mwanaume unaanzaje kuogopa wachuchu?

Ukikutana na msumbufu unampiga chini, unatafuta mchuchu mwingine...yaani inabidi ifike mahali wachuchu wasijione wao ndio wao...sababu bila mwanaume, wachuchu hawana thamani
 
Kuna mmoja amekuja na gia hiyo ya kumuoa na hataki hata kujua status yangu ya kiuchumi na kiafya...
Tatizo lake ni MUONGO DUNIA NZIMA SIJAONAPO.
sijakutana nae ila anafosi nikutane nae ili anithibitishie kuwa ananihitaji sana.
Sometimes pepo la kufanya nae matusi linanijia halafu nimsikilizie uongo wake utaishia wapi lakini....naona ntamfanya aone dunia mbaya bure.
Ngoja arudi kutoka mombasa apone na korona nione atasemaje...ila awe makini pepo la kufanya matusi likinizidi atajijua yeye.
Kama yupo humu pia atajijua mwenyewe!!
 
Kaongea km mjinga mjing hivi ila 85% ukweli mtupu.

Pumba 15%
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…