“Kaka nakuomba basi unioe “

"Basi tu Mungu ametuumbia Nyege na hii ndiyo inanifanya hata niweze kuwazoea hawa Watu na hata kuassociate nao na ingekua vinginevyo Kwa namna ninavyowadharau Wanawake ,Dharau hii ingekua (infinite times)"
Astakafirullah [emoji2969] for your statement
Unakosea Sana kuwa na conclusion ya kwamba wanawake wote Ni sawa either kwa sababu ya wachache uliokutana nao wakawa na notion zinazofanana au kwa baadhi ambao umeshuhudia matendo Yao kwa jiran ama ndugu zako ,,,,, by the way watu wanatofautiana mpendwa usiwe na ujumuishi ambao hauna mantiki
 
Hata mi akili ilipofunguka nikajua kua hakuna mwanamke wa sasa atakupenda bila kitu hilo sahau. Hiyo iliishia ishia miaka ya 90 na 2000 mwanzoni.

Ila hii 2022 hiyo kitu futeni akilini eti mnaona kisa mmependana, hapo ni huyo manzi anatafuta unafuu wa maisha na heshma kwa rafiki zake ila wewe mwanaume unaambulia (-) coz huna unachopata zaid ya hasara na kifo cha mapema kwa stress.
 
Wahenga wanasema its begins with you. Unavyosema unawachukulia wadada kama chombo cha starehe lkin una ndugu wa kike na wanaume wenzio wanamchukulia hivyohivyo. Tusambaze upendo.
 
Bro usidharau wanawake kumbuka ndo umezaliwa nao
 
Kwan hela nikiungo cha mwili ka chura au guu eet sisy???
 
Pamoja namapungufu yao lakini hawa viumbe ni mhimu sana unaesema eti huowi jipe muda tu utawaelewa ss tunaendelea nao pamoja nausumbufu wao
 
Kitu cha Bob kimekuathiri
 
mtoa nada yupo sahihi, nawe upo sahihi ila mtoa mada hataki kubeti kabisa. Yani uwo mchungo kaachana nao.
 
Ujumbe hapa ulikua "nimesomea mambo ya afya na najiandaa zangu kwenda internalship"
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…