Kaka mtu

Kaka mtu

CnaJina

JF-Expert Member
Joined
Jun 29, 2013
Posts
468
Reaction score
84
nimekutana nae fb sikujua kama ni kaka wa boyfie, kutokana na fake names hizi, basi tukachat chati wee mpaka kanizoea, kama wasemavyo wakikaa watu wawili peke yao shetani anakua wa tatu wao, basi kaka watu akajikuta kafall, sio utani mwanzo alikua haingii fb kivile bt nw 24/7 hadi nafanya kumfukuza akalale,, after sometime nkajua kama ni ndugu na mtu wangu, bt sikumwambia tukaendelea na urafiki wetu, kaka wa watu yupo mkoani anataka kuja tuonane, nashindwa nianzie wapi kumwambia kua am invoved wt his lil bro, naogopa ataniona muongo and hell stop trusting me,, niko njia panda,, I dnt want to lose hz friendshp
 
Hahahhahahaha! Swali lako limenifurahisha huyo aneniboa sina mahusiano nae, hawa wengine lol


Kwahiyo hawa wawili
mmoja unae,mwingine hutaki ku lose friendship,?
mtu na kaka yake?
na mwingine zoba anakuhonga na humpendi?

hongera saana....umeendelea kwa kweli..
 
Mbona hayo madogo tu, kuna mengine nkikwambia utacollapse

Trust me
by this age huna utakaloniambia la kunishangaza
yote unayofanya now ni marudio ya wenzio tu
hakuna jpya...ndo ujana huo so enjoy yourself while it last
 
Hahahhahahaha! Swali lako limenifurahisha huyo aneniboa sina mahusiano nae, hawa wengine lol

Oookey! Kumbe unakipaji cha Kubadili Wavulana eee!
Bila shaka Unakipaji hata cha KUWACHANGANYA, wewe hujui tu! Urafiki utamtesa kaka mtu, mapenz unaogopa coz ni kaka wa B.frnd wako, hapo u-balance interest = nyumba ya kando!
Nakuaminiaaaaaa.....!
 
Trust me
by this age huna utakaloniambia la kunishangaza
yote unayofanya now ni marudio ya wenzio tu
hakuna jpya...ndo ujana huo so enjoy yourself while it last



Yah sure
 
Oookey! Kumbe unakipaji cha Kubadili Wavulana eee!
Bila shaka Unakipaji hata cha KUWACHANGANYA, wewe hujui tu! Urafiki utamtesa kaka mtu, mapenz unaogopa coz ni kaka wa B.frnd wako, hapo u-balance interest = nyumba ya kando!
Nakuaminiaaaaaa.....!

Your ushauri will be high considerd
 
Huyu Keshapenda tayari, hana ujanja hapa anajifariji tu lkn yupo tayari kutoa mzigo kwa kaka mtu, na inaonekana bro mambo safi zaidi ya DOGO
 
Huyu Keshapenda tayari, hana ujanja hapa anajifariji tu lkn yupo tayari kutoa mzigo kwa kaka mtu, na inaonekana bro mambo safi zaidi ya DOGO


Jf never ceases to amaze me, you pipo have an imagination worth praising
 
. Kumbe fb ina fanyaga majambo eeeh???😕😕😕
 
Jf never ceases to amaze me, you pipo have an imagination worth praising

CnaJina Love is strange, hasa ulimwengu huu wa dotcom. Unajua kwa nini kutongoza siku hizi hakuhitaji nguvu? sisi wanaume ukishachukua namba ya simu ya demu, ukaongea naye kwenye simu, au sms au FB au hizi dotcom zenu, percentage ya kukataa ni ndogo sana! najua nishapitia huko na ninaona jinsi wasichana wanavyotafuna kisa FB, WHATSUP na vinginevyo hahahahah
 
trust me
by this age huna utakaloniambia la kunishangaza
yote unayofanya now ni marudio ya wenzio tu
hakuna jpya...ndo ujana huo so enjoy yourself while it last

umeona ee! Yani aliponawa yeye sie tulioga zamaani!
 
my last bebe wangu, emb nitme na me maomb kwako ili tuweweng zaid maana napenda kupangwa
 
Back
Top Bottom