Kaimu Mkurugenzi wilaya ya Urambo bwana Gwatako naye aligushi cheti

REJESHO HURU

JF-Expert Member
Mar 6, 2014
4,449
9,372
Kweli hii inchi ilipokuwa inaenda siyo ona sasa huyu alipewa mpaka dhamana ya kusimamia watumishi kumbe naye elimu yake haieleweki.
IMG_20170503_025958_495.jpg
 
Kama ni ccm huyo, ujue wamemuhisi,anaimani na Lowasa ! Hakuna ccm mwenye kukumbwa na mkosi wa vyeti feki,lazima hapo kuwe na kasoro,na sio ndogo ! Vinginevyo,atajitokeza hadharani kama nape na kuweweseka sana.kama alisaidia kuiba kura za upinzani,basi ni laana inamtafuna.manape na magoli yao ya viwiko vyeti feki havita waacha.wananchi wamemlilia sana Mungu kwa habari ya wizi wa kura za Lowasa,lazima Mungu atufute machozi yetu!.
 
Kama ni ccm huyo, ujue wamemuhisi,anaimani na Lowasa ! Hakuna ccm mwenye kukumbwa na mkosi wa vyeti feki,lazima hapo kuwe na kasoro,na sio ndogo ! Vinginevyo,atajitokeza hadharani kama nape na kuweweseka sana.kama alisaidia kuiba kura za upinzani,basi ni laana inamtafuna.manape na magoli yao ya viwiko vyeti feki havita waacha.wananchi wamemlilia sana Mungu kwa habari ya wizi wa kura za Lowasa,lazima Mungu atufute machozi yetu!.
Acha kuchanganya mambo huku kwenye hii Kashfa mabosi wapo wengi tu ,tatizo hutujui yupi ni yupi .

Kilichofanyika ni cha kupongezwa sana .

Tofautisha siasa na utendaji Wa Necta
 
Kama ni ccm huyo, ujue wamemuhisi,anaimani na Lowasa ! Hakuna ccm mwenye kukumbwa na mkosi wa vyeti feki,lazima hapo kuwe na kasoro,na sio ndogo ! Vinginevyo,atajitokeza hadharani kama nape na kuweweseka sana.kama alisaidia kuiba kura za upinzani,basi ni laana inamtafuna.manape na magoli yao ya viwiko vyeti feki havita waacha.wananchi wamemlilia sana Mungu kwa habari ya wizi wa kura za Lowasa,lazima Mungu atufute machozi yetu!.
pointless kbsa
 
Acha kuchanganya mambo huku kwenye hii Kashfa mabosi wapo wengi tu ,tatizo hutujui yupi ni yupi .

Kilichofanyika ni cha kupongezwa sana .

Tofautisha siasa na utendaji Wa Necta
Utasemaje mabosi wako wengi wakati huwajui?

Orodha hiyo ndeeeefu ni walimu wa UPE kwa asilimia kubwa.
 
Aiseee! Hebu acha dharau. Walimu wa UPE ndiyo wamenipa maujanja mjini. Kwani wewe ulifundishwa na nani boss?
Ni hao hao walimu wa UPE. Nipo katika kuwatetea waalimu wetu mkuu.

Ajira yao haikuwa na kigezo cha cheti cha form four wala form six, yale matamko ya ajabu ajabu mara ooh lazima uwe na cheti sijui cha ndoa! sijui cha nini na nini!!! ndipo utata ulipoanzia.
 
Back
Top Bottom