kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,057
- 2,163
Fuatilia MKUU alijuwaje kazini huyo jamaa
Ni ibilisi tu aliwazonga, kwa mfano tena hapo kwetu kuna mama mwingine ambaye ni katibu mahususi mzee kabisa amekaribia kustaafu na anajulikana ni form seven, maajabu kumbe na yeye alifanya yake, Shetani anajua kuvuruga watu kweliYupo mlinzi pia alichonga cha form 4 ilhali hakihitajiki. Ambao hawakuchonga, sasa hivi wanapeta. Anyway, walinzi, wahudumu, madereva, manesi na walimu ndio wameumia zaidi. Sijui kwa sababu ya uwingi wao au uhitaji wa qulification hafifu katika kazi zao.
Tanzania local government workers union.TALGWU ndio nini mkuu
atafanya kama daudi bashite yeye alipeleka majina ya wenzie lake hakupelekaHahaaaa.....kwa hiyo ataanza kuwafukuza wenzake,au atajiondoa yeye kwanza!?
Namshukuru Mungu amesikia kilio chetu.Kwa kiasi kikubwa hawa waliogushi vyetu ndio waliotufikisha hapa tulipo.Hatutakuja kujua precisely ukubwa wa uharibifu waliousababisha kwa taifa letu.Hata hivyo tunajua kwamba ni mkubwa mno.Bado tunaendelea kutoa rai kwa Rais wetu kwamba watu waliogushi vyeti bado wapo,kwa hiyo zoezi la uhakiki wa vyeti uwe endelevu,hasa kwenye halimashauri zetu.Kweli hii inchi ilipokuwa inaenda siyo ona sasa huyu alipewa mpaka dhamana ya kusimamia watumishi kumbe naye elimu yake haieleweki. View attachment 503866
Kifupi cha jina lake siyo Tako bali Gwata! Usimuharibie mwenzio mchana huu akakosa kushiba!!mohamed-------mudy
gwatako---------tako
atakubali ukimuita kwa kifupi
Aliyetaja wakurungezi nani???Kwa maana hiyo ile kauli kuwa wakuu wa mikoa/wilaya na wakurugenzi jumlisha mawaziri na wabunge hawajaguswa ilikuwa kumlinda Bashite tu, ila kuna walio guswa?1 nchi hii ni zaidi ya v wonder maajabu yake hayapo sayari hii yanapatikana kwetu tu.
Nakubalina na wewe, idara nyingi hazikukaguliwa vyeti, mfano katika halimashauri nyingi idara ya uchumi mipango na fedha haikuguswa.Utasemaje mabosi wako wengi wakati huwajui?
Orodha hiyo ndeeeefu ni walimu wa UPE kwa asilimia kubwa.
Hapo poa. Maana nili - panic mkuu! Napata maji hapa.Ni hao hao walimu wa UPE. Nipo katika kuwatetea waalimu wetu mkuu.
Ajira yao haikuwa na kigezo cha cheti cha form four wala form six, yale matamko ya ajabu ajabu mara ooh lazima uwe na cheti sijui cha ndoa! sijui cha nini na nini!!! ndipo utata ulipoanzia.
Ni battle kal sana mkuu yaan full kukamiana mbaya, kwa sisi wapenda soka huu msuguano tunaufananisha na El classico yaan Barcelona vs Real madrid. Huku Messi huko Ronaldo yaan damu pamoja na kuvunjana mpaka mtu akimbieNaona toka vyeti feki vitolewe majib yake watu mnatafutana si mchezo! Ni full mtifuano
Wameambiwa maafisa utumishi wahakiki orodha kisha ambae jina lake halipo lipelekwe NECTA kwa uhakiki. Nazan kutakua na uhakiki wa ambao hawajahakikiNakubalina na wewe, idara nyingi hazikukaguliwa vyeti, mfano katika halimashauri nyingi idara ya uchumi mipango na fedha haikuguswa.
HujielewiKama ni ccm huyo, ujue wamemuhisi,anaimani na Lowasa ! Hakuna ccm mwenye kukumbwa na mkosi wa vyeti feki,lazima hapo kuwe na kasoro,na sio ndogo ! Vinginevyo,atajitokeza hadharani kama nape na kuweweseka sana.kama alisaidia kuiba kura za upinzani,basi ni laana inamtafuna.manape na magoli yao ya viwiko vyeti feki havita waacha.wananchi wamemlilia sana Mungu kwa habari ya wizi wa kura za Lowasa,lazima Mungu atufute machozi yetu!.