Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

Kaimu DEO na Mtaaluma Simanjiro mnaua elimu

Ewong'on

Member
Joined
Nov 4, 2015
Posts
9
Reaction score
0
Kaimu DEO idara ya sekondari na mtaaluma wanachangia sana kuangusha kiwango cha elimu hapa wilayani na hasa hapa shuleni kwetu Ewong'on.

Sisi waalim wa Ewong'on sekondari tulipeleka malalamiko yetu kwa DEO na Mtaaluma kuhusu uendeshaji mbovu wa shule yetu lakini hakuna hatua thabiti zilizochukuliwa kuhakikisha mambo yanarekebishika.

Tuliandika barua yetu iliyobeba malalamiko yetu kuhusu uongozi mbovu, ukosefu wa idara muhimu ktk uendeshaji shule, shule kutokuwa na makamu mkuu wa shule kwa mwaka mzima, kutokuwepo kwa bodi ya shule na mambo mengine ambayo yanachangia kupungua kwa morali ya waalimu na wanafunzi ktk kufundisha na kujifunza hvyo kusababisha taaluma kushuka hapa shuleni.

Tulijua kaimu DEO Mr.Kimweri ni mtu muungwana ambae anaijua background ya headmaster wetu vizuri hivyo angeweza kulitatua tatizo letu ila cha ajabu alikuja akajifungia ofisini na mtuhumiwa ambae ni mkuu wa shule wakaongea yao na waalim hawakuitwa wala kuhojiwa lolote zaidi ya wao kuondoka na mambo yanaendelea kuwa mabovu.

Hatujui tumlalamikie nani maana Mkurugenzi wa wilaya nae anajua jambo hili ila amenyamaza. Hivyo kupitia hapa JF tunajua ujumbe unaweza kuwafikia wahusika wa ngazi za juu zaidi ambao watatusaidia kutatua au kutuondolea uongozi huu mzigo.

Tunaamini pia wachangiaji wa hapa mtatoa mawazo yatakayotuwezesha kupata ufumbuzi ili tufikie lengo la kuiinua taaluma ya shule yetu , wilaya na Taifa kwa ujumla.
 
Eleza tatizo ni nini ili wadau na wahusika walifikishe kama lilivyo
 
ACHA UJI.NGA...fanya kazi fundisha watoto.Huu muda wa kulalamika unaupata wapi? Acha hizo.
 
simanjiro mmejaaliwa kupata mbunge mpya! mkiona DED wenu hafuatilii jaribu kumuona james millya then mumpe malalamko yenu
 
Sawa,waalimu wavivu kama wewe Ewong'on kazi yenu kumshambulia mkuu wa shule.Piga kazi tulia.Acha kujifanya mjuaji.
 
Last edited by a moderator:
nimefanya kazi hapo Simanjiro ukanda huo wa mererani ila nilikua disappointed sn Kwa wakuu wa shule. wana mambo ya kishenzi na wanalindwa na DEO wa sec hapo wilayani

suala la kuinuka Kwa elimu ktk wilaya hiyo msubiri Yesu arudi, nilifanya maongezi na huyo Kimweri ikaonesha kanielewa ila utekelezaji ni zero.

nilichojifunza ni kua hata DEO anaogopa jamii na wanasiasa wa Simanjiro. kamwe usitegemee mabadiliko yeyote hapo Simanjiro.

once you fail to convice try to confuse them
 
think big bro! kama hujui jambo bola unyamaze sio kutema pumba ambazo zinakuonyesha jins ulivyo rough katika kulogic hoja.kanun za educational management ziko waz bad management poor perfomance
 
nimefanya kazi hapo Simanjiro ukanda huo wa mererani ila nilikua disappointed sn Kwa wakuu wa shule. wana mambo ya kishenzi na wanalindwa na DEO wa sec hapo wilayani

suala la kuinuka Kwa elimu ktk wilaya hiyo msubiri Yesu arudi, nilifanya maongezi na huyo Kimweri ikaonesha kanielewa ila utekelezaji ni zero.

nilichojifunza ni kua hata DEO anaogopa jamii na wanasiasa wa Simanjiro. kamwe usitegemee mabadiliko yeyote hapo Simanjiro.

once you fail to convice try to confuse them

ndo hivyo bro, wakuu wa shule ni miungu watu hawashauriki na mbaya zaidi DEO anawalinda. Shule yangu ipo ukanda wa Mererani pia.
 
ile copy ya barua copy yake itumeni kwa mkaguzi wa kanda nakupa week 1 watatia timu hapo ila nanyi muwe mmefanya kazi uoande wenu sio wakija hamna scheme of work, lesson plan, lesaon notes, hujasahihisha kazi za wanafunzi utakiona
 
ile copy ya barua copy yake itumeni kwa mkaguzi wa kanda nakupa week 1 watatia timu hapo ila nanyi muwe mmefanya kazi uoande wenu sio wakija hamna scheme of work, lesson plan, lesaon notes, hujasahihisha kazi za wanafunzi utakiona

itabidi tufanye hivyo
 
Eleza tatizo ni nini ili wadau na wahusika walifikishe kama lilivyo

Ndugu wamisako tatizo ni mkuu wetu wa shule anaendesha shule vibaya. Anatumia fedha za shule kwa manufaa yake na hatuambii walim mapato na matumizi. Ameweka wanawake ktk nafasi za juu ili aweze kuwaburuza maana wanawake wenyewe wanakuwa watii kwake mfano academic na kaimu makamu mkuu wa shule. Huyu mzee sio msikivu hata akishauriwa jambo lolote, anatuongoza kizamani wakati watu tupo kidigitali. Anacontrol walim kama watoto wake na anapenda kufatilia kila uzushi anaousikia kuhusu waalim. Waalim hawathaminiwi, unakuta matron wa shule na mpishi wananguvu ya ushawishi kiasi kwamba wakisema lolote mkuu wa shule anasikia. Tumechoka kwa kweli hasa ukizingatia kuwa 99% ni vijana tunataka shule iendeshwe kidigitali.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu wamisako tatizo ni mkuu wetu wa shule anaendesha shule vibaya. Anatumia fedha za shule kwa manufaa yake na hatuambii walim mapato na matumizi. Ameweka wanawake ktk nafasi za juu ili aweze kuwaburuza maana wanawake wenyewe wanakuwa watii kwake mfano academic na kaimu makamu mkuu wa shule. Huyu mzee sio msikivu hata akishauriwa jambo lolote, anatuongoza kizamani wakati watu tupo kidigitali. Anacontrol walim kama watoto wake na anapenda kufatilia kila uzushi anaousikia kuhusu waalim. Waalim hawathaminiwi, unakuta matron wa shule na mpishi wananguvu ya ushawishi kiasi kwamba wakisema lolote mkuu wa shule anasikia. Tumechoka kwa kweli hasa ukizingatia kuwa 99% ni vijana tunataka shule iendeshwe kidigitali.

mimi ni mwalimu..na was.e.nge kama ww hata huku kwetu mpo.Ww ni wale waalim wasiotekeleza majukumu ipasavyo.Kutwa kucha kulalama.
 
Last edited by a moderator:
mimi ni mwalimu..na was.e.nge kama ww hata huku kwetu mpo.Ww ni wale waalim wasiotekeleza majukumu ipasavyo.Kutwa kucha kulalama.

Chum Kane we ndo aina ya headmaster na kimweri wake hapo. Watu tunataka mabadiliko ili taaluma ipande we unaleta utani na maneno ya kipumbavu.
 
Last edited by a moderator:
Anza kujichunguza na kujirekebisha wewe kwanza .Mimi nilikuwa hivyo kama wewe.Nilikuwa kiongozi wa waasi.Baadae nikaona ni use.n.ge nikaacha uvivu ma kulalamika nikaanza kupiga kazi.Ndani ya miezi sita tu mambo yakaanza kuwa safi.Uhasama ukaanza kuisha na baadae tukawa in goodterms na uongozi.Acha kujifanya mjuaji.Hata wewe ungekuwa kwenye position yake huenda ungefanya kama yeye au zaid ya yeye.Become a lynchpin my friend.Work hard in silence.Nina madili kibao nje ya ofisi lakin kwakuwa natimiza majukumu yangu ipasavyo sisubir kengele na mkuu ananielewa.Upinzani bali upinzani sio ishu.Earn the right to criticize first!!
 
Anza kujichunguza na kujirekebisha wewe kwanza .Mimi nilikuwa hivyo kama wewe.Nilikuwa kiongozi wa waasi.Baadae nikaona ni use.n.ge nikaacha uvivu ma kulalamika nikaanza kupiga kazi.Ndani ya miezi sita tu mambo yakaanza kuwa safi.Uhasama ukaanza kuisha na baadae tukawa in goodterms na uongozi.Acha kujifanya mjuaji.Hata wewe ungekuwa kwenye position yake huenda ungefanya kama yeye au zaid ya yeye.Become a lynchpin my friend.Work hard in silence.Nina madili kibao nje ya ofisi lakin kwakuwa natimiza majukumu yangu ipasavyo sisubir kengele na mkuu ananielewa.Upinzani bali upinzani sio ishu.Earn the right to criticize first!!

huna lolote we ni boya kama maboya wengine. You dont know the real situation thats why you are talking such nonsense. Siwezi nikafanya mambo ya kijinga kama huu uongozi hapa, mzee hasikii wala haelekezeki, uongozi na wasaidizi wake ni wanafiki, wanakalia viti kwa maslai yao wenyewe. Kama wewe ulibadilika ni kwa kuwa kiongozi wako alikuwa msikivu, huyu wa kwetu haeleweki hata kidogo. Watu tumechoka kuongozwa kibwege na ndio maana tumejitoa mhanga ili mabadiliko yatokee.
Tumedhamiria makubwa, tunataka wahusika wachukue hatua madhubuti ili kuikomboa shule yetu kutoka kwa dictator huyu wa kichaga.
 
Una attitude problem...Unless you change utaendelea kuwa mlalamikaji namba moja.We unafikiri mkifanikiwa mnachotaka ndio hiyo itageuka na kuwa kama FEZA BOYS?PIGA KIMYA,FANYA YAKO...Wakati wako utafika tu!Acha tamaa.
 
huna lolote we ni boya kama maboya wengine. You dont know the real situation thats why you are talking such nonsense. Siwezi nikafanya mambo ya kijinga kama huu uongozi hapa, mzee hasikii wala haelekezeki, uongozi na wasaidizi wake ni wanafiki, wanakalia viti kwa maslai yao wenyewe. Kama wewe ulibadilika ni kwa kuwa kiongozi wako alikuwa msikivu, huyu wa kwetu haeleweki hata kidogo. Watu tumechoka kuongozwa kibwege na ndio maana tumejitoa mhanga ili mabadiliko yatokee.
Tumedhamiria makubwa, tunataka wahusika wachukue hatua madhubuti ili kuikomboa shule yetu kutoka kwa dictator huyu wa kichaga.

Kumbe tatizo ni Mchaga? Acheni ujinga na utoto ninyi waalim! Na sio kila lalamiko lazma litendewe kazi cuz mengine huwa yamebeba jazba na utoto ndani yake.
Fanyeni kazi, taaluma haiinuliwi na majungu ya kise.ngerema kama haya.
Kuchafuana pasi na sababu tu.
 
Usomewe mapato na matumizi wewe ni Bodi ya shule? Kijana unaonekana muda mwingi unamfuatilia mkuu wa shule kuliko kufundisha wanafunzi, hii ni tabia mbaya kwa mtu kama wewe uliyeanza kazi ya ualimu hivi karibuni.Wewe fundsha wanafunzi kazi ya kufuatilia mapato na matumizi ya fedha za shule waachie wakaguzi wa ndani wa Halmashauri ya wilaya au CAG full stop.Acha kuwa na Umbea umbea wewe.
 
Back
Top Bottom