Ubaya Ubwela
JF-Expert Member
- Jul 24, 2024
- 2,711
- 6,474
Ni Tanzania pekee huduma kwa wananchi kusitishwa/kusimamishwa ili kupisha mkutano wa Chama. Gari zote zinafanya shughuli za kushusha na kupakia abiria nje ya stendi
Watu wanasumbuliwa kwa ajili ya hili gendaeka kutoka hifadhi ya Gombe.Ni Tanzania pekee huduma kwa wananchi kusitishwa/kusimamishwa ili kupisha mkutano wa Chama. Gari zote zinafanya shughuli za kushusha na kupakia abiria nje ya stendi