Kagere afukuzwe Tanzania

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,246
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa penalti ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa ilikuwa ni moja ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Asante
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Wewe sasa ndo unajua soka,hao wengine ni mungu nisaidie tu maskini
 
Mnamuhukumu bure tu Kagere ila kabla ya kufika huko walau ungepitia rekodi zake kwenye upigaji wa penalti

Kagere hata wakati yupo Simba alikuwa na upigaji mbovu wa penalti ikitokea amefunga ilikuwa kama zari tu lakini kiufundi alikuwa bado.

Simba walikuwa wanampa nafasi apige kutokana na advantage ya kuwa kinara wa mabao

Penalti aliyokosa leo Kagere ndio penati ile ile aliyokosa 2020 tulipocheza na Biashara katika mechi ambayo tulipata ushindi wa 3-1

2021 mapinduzi tulitolewa na Yanga kwa kupoteza penalti mbili, ambazo mbili kati ya hizo tulizokosa moja ilikuwa ni ya Kagere

Hata kule Sumbawanga katika mazoezi ya Simba kwenye upigaji wa penalti tuliona style ileile ya Kagere na kama kawaida yake alikosa.

Sioni sababu ya kumshutumu kuwa ameihujumu timu kwa viwango vya kutaka atimuliwe Tanzania kwenye kitu ambacho ni desturi yake katika background records.
Hii ya leo ni ya makusudi mkuu
 
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.

Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.

Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Baki na mambo ya miswada. Huku utayumba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom