Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,246
Ni kweli kwamba tunahitaji wachezaji wa kigeni, lakini hatuhitaji Wachezaji wanaohujumu timu zao zinazowalipa kwa sababu ya Rushwa.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.
Mimi ni Simba lakini sikubaliani na aibu hii ya Kagere, tunapenda Ushindi wa haki.
Tukiruhusu huu ujinga tutadumaza soka la Tanzania.