Daniel Mbega
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 338
- 180
RAIS wa Serikali ya Rwanda Mheshimiwa Paul Kagame amesema nchi yake inapata amani kuona kuwa Tanzania iko tayari kufanya nao biashara.
Hayo yamesemwa leo, wakati Rais Kagame alipokuwa akifungua maonesho ya 40 ya Biashara ya Kimataifa katika viwanja vya Mwl. Nyerere vilivyopo barabara ya Kilwa jijini Dar es Salaam.
“Inatupa amani kuona Tanzania iko tayari kufanya biashara na Rwanda, naahidi kuwa tutaendelea kujifunza zaidi na kufanya biashara zaidi” amesema Rais Kagame.
Soma zaidi hapa => Kagame: Tanzania kufanya biashara na Rwanda inatupa amani | Fikra Pevu