jMali
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 8,412
- 5,013
Jamani tuseme ukweli,Watanzania mnajuwa fika pale mlivyoenda Kumsaidia Kabila wa kwanza Kipigo mlichokipata cha wanyarwanda kule Rubumbashi jaapo iliwekwa sili mi nilikuwepo!!, juzi tu mnajigamba kuwapiga M23 wakati hamkuingia hata uwanja wa mapambano,naona mtabakia kuongea Kiswahili,Taifa kubwa na Vita ya Idiamini tuu!!!poleni japo nawapenda.
1. Panaitwa Lubumbashi sio hivyo ulivyotamka kikwenu, nilishakwambia utabadili ID unavyotaka lakini huwezi kujibadili wewe.
2. Tanzania haijawahi kupeleka jeshi kumsaidia Kabila wa kwanza that is simply a lie.
3. Kama hatukuingia uwanjani kupambana na M23, askari wetu waliuawa na nani? walijipiga risasi? hebu tupe conspiracies zako kuhusu hilo.
cc: kadoda11 platozoom Ntuzu