mchambawima1
JF-Expert Member
- Oct 16, 2014
- 2,487
- 738
- Thread starter
- #21
ah kumbe serikali ya Rwanda inatesa na watutsi pia? mbona kila siku ulikuwa unatuambia wahutu tu ndio wanao nyanyaswa? hao wanaotaka kimbia ni wakosa adabu wenzako kama na wewe na interahamwe wako mlivyokimbia baada ya mauwaji ya 94... unataka kumzuga nani jMali?Jamaa yuko spot on. hayo mimi niliambiwa na wenyeji wa huko enzi hizo nilivyowaambia nataka kuhamia nchini kwao. Wakafunga milango na madirisha halafu wakacheka wakiniuliza "wenzio tunataka kukimbia wewe unataka kuhamia"? Halafu hao ni watutsi mind you!