Kagame complains of inaction on DR Congo rebels

Kagame complains of inaction on DR Congo rebels

Hivi unaamini kama RDF wanawaweza FDRL, kama walikwenda mwaka 1996 tena kwa msaada wa Uganda wakashindwa kuwamaliza, wakaja akina Laurent Nkunda na Bosco Ntaganda nao wakachemka itakuwaje kwa Rwanda yenyewe? Nakuambia ni siri nzito hata ile ya 1994 kuwashinda xFAR kulikuwa na watu nyuma yao tena wenye nguvu kubwa.

Unaweza niambia ngome ya FDLR ya wakatihuo ambayo RDF walipigana na FDLR na kushindwa kuwaondoa???au kufanya RDF watimue mbio au kuuwawa kama inavyofanyika huko nigeria?
 
023427-01-02.jpg

Rwanda's President Paul Kagame voiced renewed frustration over what he complained was long-term inaction over Rwandan Hutu rebels in the Democratic Republic of Congo.


Rwanda's president on Thursday voiced renewed frustration over what he complained was long-term inaction over Rwandan Hutu rebels in the Democratic Republic of Congo.

President Paul Kagame said even though the Democratic Forces for the Liberation of Rwanda (FDLR) had missed a deadline to disarm and were now facing an offensive by the United Nations mission in the DR Congo, Monusco, he was far from optimistic about the prospect of decisive action.


The FDLR is estimated to include between 1,500 and 2,000 ethnic Hutu fighters, some of whom are accused of having participated in the 1994 Rwandan genocide which left close to a million people dead, mainly ethnic Tutsis.

Opposed to President Kagame's Tutsi-dominated government, they have been based across the border in eastern DR Congo since the genocide, and are accused of staging brutal attacks on civilians, including rapes and murders, and smuggling gold and charcoal.

Kagame told a news conference he was not confident "that things are going to work out the way they should."

"We've been with the FDLR for decades ... and what has been playing out relating to the FDLR has not been helpful at all," he said.

He accused regional players of making "all kinds of excuses when it comes to (dealing with the) FDLR," including saying there are children and civilians among them.

"When it comes to the FDLR, it's like, you know, let's wait," he said.

Monusco head Martin Kobler said last week the UN and DR Congo forces were prepared for a confrontation with the rebels after they missed a January 2 deadline to turn themselves in. Last week DR Congo's government also said the forced disarmament of the FDLR was now "the only option".


Source:theeastafrican
kwa nini anakwepa kuzungumza nao!!migogoro hutatuliwa kwa mazungumzo,ikishindikana ndipo nguvu itumike.kagame anakwepa nini kuzungumza nao hao wanyarwanda wenzie?au ni hasira za kusambaratishwa kwa M23?
 
Unaweza niambia ngome ya FDLR ya wakatihuo ambayo RDF walipigana na FDLR na kushindwa kuwaondoa???au kufanya RDF watimue mbio au kuuwawa kama inavyofanyika huko nigeria?
Wenye data watakuja kukupa mpaka source, by the way RDF in wanajeshi zaidi ya 50,000 kwa nini muogope kikundi cha watu 1500 tena wanaoishi mstuni kwa kula matunda na nyama ya porini.Yaani namaanisha munaogopa kikundi cha watu 1500 waliojichokea na waliozeeka.Nasema hivo kwa sababu Rwanda inasema kuwa wale wote FDLR ni wale waliocommit genocide Rwanda.Kwa hiyo kwa harakaharaka kama walikuwa wanajeshi ni either walikuwa na miaka 30 to 40 years wakati huo wa 1994,kwa hiyo kwa sasa hivi FDLR ni kikundi chenye watu walio na umri wa kati ya miaka 50 na 60.Kwa hapa Tanzania mwanajeshi akiwa na umri wa miaka 50 au 60 ni mstaafu huyo.So in short Rwanda inaogopa na kikundi cha jeshi la wastaafu vikongwe 1500 wakati serikali ya Rwanda in silaha za kisasa na wanajeshi vijana wenye nguvu
 
Jwtz hawakufundishwa kumwaga damu isiyo na hatia, hvyo FDRL wale bata tu

Kelele za kagame n upepo tu unapita

Na kweli wacha washikaji wale bata. Inawezekana wapo na JWTZ wanapiga story huko.
 
Nakumbuka ule msemo wa Kagame kumwambia JK "i will hit u".

Wakati ule alipewa option nzuri sana ya kudeal na FDLR akaishia kutokwa mapovu, hakujua kama huyo anaemtukana ndo key player hapa EAC, SADC na Nchi za maziwa makuu.

So, PK asubiri kunyolewa.
 
Wenye data watakuja kukupa mpaka source, by the way RDF in wanajeshi zaidi ya 50,000 kwa nini muogope kikundi cha watu 1500 tena wanaoishi mstuni kwa kula matunda na nyama ya porini.Yaani namaanisha munaogopa kikundi cha watu 1500 waliojichokea na waliozeeka.Nasema hivo kwa sababu Rwanda inasema kuwa wale wote FDLR ni wale waliocommit genocide Rwanda.Kwa hiyo kwa harakaharaka kama walikuwa wanajeshi ni either walikuwa na miaka 30 to 40 years wakati huo wa 1994,kwa hiyo kwa sasa hivi FDLR ni kikundi chenye watu walio na umri wa kati ya miaka 50 na 60.Kwa hapa Tanzania mwanajeshi akiwa na umri wa miaka 50 au 60 ni mstaafu huyo.So in short Rwanda inaogopa na kikundi cha jeshi la wastaafu vikongwe 1500 wakati serikali ya Rwanda in silaha za kisasa na wanajeshi vijana wenye nguvu

wewe inaonyesha jinsi ulivyo mvivu wa kufanya analysis,katika genocide ya watusi hata watoto under 18 walishiriki sasa kwa sasa watakua na miaka mingapi?kingine rwanda haiogopi hao FDLR,tatizo ni kwamba inataka imalize hao watu wanao leta usalama mdogo katika nchi,unafikiri USA iliogopa alquaida? la hasha ilikua na uwezo wakuweka ulinzi nchini kwao nakusubiri mashambulizi na kwa uhakika wangeshinda lakini yote haya ya nini?kunamengi ya kufanya ya kimaendeleo sasa bora kumaliza hao magaidi na kufanya vingine vya maana badala ya kuishi maisha ya kusubiri adui,sasa ndiyo sababu rwanda inataka imalize hilo swala la FDLR kabisa.
 
Nakumbuka ule msemo wa Kagame kumwambia JK "i will hit u".

Wakati ule alipewa option nzuri sana ya kudeal na FDLR akaishia kutokwa mapovu, hakujua kama huyo anaemtukana ndo key player hapa EAC, SADC na Nchi za maziwa makuu.

So, PK asubiri kunyolewa.

Ndugu yangu huyo babu hawezi linganishwa na pk,pk ni maji marefu wala jk hawezi yaoga.
 
Back
Top Bottom