kimboka one
JF-Expert Member
- Jan 23, 2010
- 734
- 85
Ni kijana mwenye akili ya maendeleo na hari ya kuwatumia wananchike. Kwa kuwa tanzania kila kitu tunabinafsisha na kwakua Kagame ameleta maendeleo kwake.
Kwa nini basi taasisi ya ikulu isibinafsishwe? Ili Kagame atusaidie kwa miaka mitano. Kama aliomba bandari hope ata madini tukimpa atafanya vizuri zaidi.
Kwa nini basi taasisi ya ikulu isibinafsishwe? Ili Kagame atusaidie kwa miaka mitano. Kama aliomba bandari hope ata madini tukimpa atafanya vizuri zaidi.