Kafunga lakini anataka nikamdinye

Kafunga lakini anataka nikamdinye

We zero kwani ile siku ya kuvunja jungu amkulivunja? Sasa si ataaribu swaumu yake uyo shemeji
Ni binti flani hivi wa kiislam kwa sasa amefunga lakini amenitafuta anasema jioni anataka nikamdinye baada ya kufuturu,

Nilikuwa na muda sijakutana nae kwa sababu ya ubusy wa shughuli na ratiba zangu za ugegedaji kuwa tight kidogo,

Sasa naona amechokoza nyuki na mimi leo nina genye kweli kweli nipo hapa nafikiria sijui nakamtimdue au niache maana naweza kumuharibia swaumu yake.

Au inaruhusiwa kutindua baada ya kufuturu wakuu ?


Note.
Mimi sio muislamu ila yeye ndie.
 
Hajafunga huyo ameishakuona wewe pompoma anaanza kukufanyia booking viwalo vya IDD kandinye na uwe unatayarisha ATM nzuri IDD inapokaribia
 
Kutenda mema ni jambo la kila wakati kama tumeamua kumcha Mungu.Zinaa hairuhusiwi sio tuu kipindi hiki cha Ramadhani(au kuaresma kwa sisi wakristo) bali kila siku.

Tusiwe vuguvugu.
Tusiwe wanafiki.
 
Kwa hiyo hairuhusiwi mkuu
hairuhusiwi labda muwe mmeoana, mkatalie muoneshe u are a man not driven by pussy😀😀.. Mwambie afate mafunzo ya dini yake ata kidgo huu mwezi upite!!, ata kama atatafuta njemba nyingine , utaendelea kuzunguka kichwan mwake!!
 
Da ama kweli, ratiba iko tight , so ww ni banduka bandua...ukimwi sasa upo sana
 
Mbona kawaida sana Zero IQ, tena wanakuwa very cheap kwa muda huu.
Ni binti flani hivi wa kiislam kwa sasa amefunga lakini amenitafuta anasema jioni anataka nikamdinye baada ya kufuturu,

Nilikuwa na muda sijakutana nae kwa sababu ya ubusy wa shughuli na ratiba zangu za ugegedaji kuwa tight kidogo,

Sasa naona amechokoza nyuki na mimi leo nina genye kweli kweli nipo hapa nafikiria sijui nakamtimdue au niache maana naweza kumuharibia swaumu yake.

Au inaruhusiwa kutindua baada ya kufuturu wakuu ?


Note.
Mimi sio muislamu ila yeye ndie.
 
hairuhusiwi labda muwe mmeoana, mkatalie muoneshe u are a man not driven by pussy.. Mwambie afate mafunzo ya dini yake ata kidgo huu mwezi upite!!, ata kama atatafuta njemba nyingine , utaendelea kuzunguka kichwan mwake!!
Nimefanya hivyo mkuu lakini sio kibule bule nimemwita mkristo mwenzangu na kumdinya
 
Kutenda mema ni jambo la kila wakati kama tumeamua kumcha Mungu.Zinaa hairuhusiwi sio tuu kipindi hiki cha Ramadhani(au kuaresma kwa sisi wakristo) bali kila siku.

Tusiwe vuguvugu.
Tusiwe wanafiki.
Kuonja onja je mkuu
 
Back
Top Bottom