Kafunga lakini anataka nikamdinye

Kafunga lakini anataka nikamdinye

Ni binti flani hivi wa kiislam kwa sasa amefunga lakini amenitafuta anasema jioni anataka nikamdinye baada ya kufuturu,

Nilikuwa na muda sijakutana nae kwa sababu ya ubusy wa shughuli na ratiba zangu za ugegedaji kuwa tight kidogo,

Sasa naona amechokoza nyuki na mimi leo ni genye kweli kweli nipo hapa nafikiria sijui nakamtimdue au niache maana naweza kumuharibia swaumu yake.

Au inaruhusiwa kutindua baada ya kufuturu wakuu ?


Note.
Mimi sio muislamu ila yeye ndie.
Mgalatia uliepotoka juwa kwamba kifunga kwetu ni KUJIZUIA ULIMI,MIKONO,MIGUU,UTUPU,MACHO, Na kila KIUNGO

Hivyo vyote unavizuia na kila KINACHOMKERA Allah (sw)

NAONA FAKHARI KUWA MUISLAM
 
Mgalatia uliepotoka juwa kwamba kifunga kwetu ni KUJIZUIA ULIMI,MIKONO,MIGUU,UTUPU,MACHO, Na kila KIUNGO

Hivyo vyote unavizuia na kila KINACHOMKERA Allah (sw)

NAONA FAKHARI KUWA MUISLAM
Mimi sio muislamu hayo hayanihusu nilishafunga funga yangu wakati wa kwaresma ila hofu yangu na kwa huyo ninaetaka kwenda kumdinya mkuu sitomfungulia swaumu yake kweli?
 
Kamuulize aliyekuzaa, stupid and nonsense thread!
 
Tred yako hii wapo ambao wasiielewe,lakini ina mambo mengi ndani yake. Umeuliza vizuri sana. Yanatakiwa majibu kwa wajuzi wa hii. Je ni halali kufanya hivyo? Au sio sawa?. Wengi wanataka kufahamu hili
Wewe una IQ kubwa sana mkuu lengo la mada aswaa ni kujua kama ni halali papuchi kuliwa mara tu baada ya kufuturu haya mengine tutajua mimi na demu wangu.
 
Mimi sio muislamu hayo hayanihusu nilishafunga funga yangu wakati wa kwaresma ila hofu yangu na kwa huyo ninaetaka kwenda kumdinya mkuu sitomfungulia swaumu yake kweli?
kwa kifupi tu ndugu yang umamwaribia saumu yake pia na yey hatakua mfungaji wa kiiman bali wa mkumbo..hajatimiza leng la swaum la kua wachamungu na ndo maan mwez huu utaon watu wanakua wachamungu kwel.. sas je huyo bint kwa mtindo huo tutamuwek fungu gan na nyie sio wanandoa?

NB; Kwa wanandoa baad ya kufuturu wanaruhusiw kutend ibada yao ya ndoa
 
Wewe una IQ kubwa sana mkuu lengo la mada aswaa ni kujua kama ni halali papuchi kuliwa mara tu baada ya kufuturu haya mengine tutajua mimi na demu wangu.
Uko vizuri sana. Umewasaidia wengi waliokosa pa kuulizia haya. Wengine bila kujua wanakuja na matusi. Uzuri wake matusi umeyazoea ndio mahala pako. (Halafu wewe lijamaa ndio umenifanya nijiunge jamii forum-serious naongea). (Ile thred nilicheka usiku mpaka kesho asubuhi. Halafu ningefurahi ukiitupia niirudie I see. Nakumbuka sana pale uliposema watamkuta shetani amevaa kaptura imechanika matakoni). Nacheka tena kwa sauti ahahaaaaaaa...!
 
kwa kifupi tu ndugu yang umamwaribia saumu yake pia na yey hatakua mfungaji wa kiiman bali wa mkumbo..hajatimiza leng la swaum la kua wachamungu na ndo maan mwez huu utaon watu wanakua wachamungu kwel.. sas je huyo bint kwa mtindo huo tutamuwek fungu gan na nyie sio wanandoa?

NB; Kwa wanandoa baad ya kufuturu wanaruhusiw kutend ibada yao ya ndoa
Na vipi kwa wasiokuwa na Ndoa wataweza kuvumilia Ile tamaa ya mwili ikiwapata kwa nini isiwe ruksa kukutana walau mara moja tu mara baada ya kufuturu ila iwe kwa mchumba ambae atategemea kuwa nae mpaka mfungo unaisha na sio kwa kubadilisha badilisha.
 
kwa kifupi tu ndugu yang umamwaribia saumu yake pia na yey hatakua mfungaji wa kiiman bali wa mkumbo..hajatimiza leng la swaum la kua wachamungu na ndo maan mwez huu utaon watu wanakua wachamungu kwel.. sas je huyo bint kwa mtindo huo tutamuwek fungu gan na nyie sio wanandoa?

NB; Kwa wanandoa baad ya kufuturu wanaruhusiw kutend ibada yao ya ndoa
Umejibu vizuri mkuu,hongera,umesaidia wengi
 
Na vipi kwa wasiokuwa na Ndoa wataweza kuvumilia Ile tamaa ya mwili ikiwapata kwa nini isiwe ruksa kukutana walau mara moja tu mara baada ya kufuturu ila iwe kwa mchumba ambae atategemea kuwa nae mpaka mfungo unaisha na sio kwa kubadilisha badilisha.
unataka uhalalishe ZINAA hakuna dini inayoruhusu ZINAAA iwe n mfungo au miez mingine yote
 
Uko vizuri sana. Umewasaidia wengi waliokosa pa kuulizia haya. Wengine bila kujua wanakuja na matusi. Uzuri wake matusi umeyazoea ndio mahala pako. (Halafu wewe lijamaa ndio umenifanya nijiunge jamii forum-serious naongea). (Ile thred nilicheka usiku mpaka kesho asubuhi. Halafu ningefurahi ukiitupia niirudie I see. Nakumbuka sana pale uliposema watamkuta shetani amevaa kaptura imechanika matakoni). Nacheka tena kwa sauti ahahaaaaaaa...!
katika kitu najivunia basi nikuona nimeinspire mtu ata mmoja kujiunga katika forum yetu pendwa iliyojaa kila Aina ya elimu, Vichekesho na udugu wa kusaidiana.
 
katika kitu najivunia basi nikuona nimeinspire mtu ata mmoja kujiunga katika forum yetu pendwa iliyojaa kila Aina ya elimu, Vichekesho na udugu wa kusaidiana.
Hakika mimi nilikuwa msomaji tu,ila ile thred yako ikabidi kesho yake nijiunge. Mpaka sasa ukitupia kitu hapa,naanza kucheka kwanza.
 
Back
Top Bottom