"Me ninajiuliza aliyemshauli huyu mwanasiasa kijana kwenda mahakamani naye akukabari"
je alifikilia nini cha msingi me naona kama aliwapigia magoti viongozi wake arudi tena wakae meza moja kabla hajapotea kama walivyotea wengine, naamini wazee na wanachama waliomfukuza watamsamehe.
je alifikilia nini cha msingi me naona kama aliwapigia magoti viongozi wake arudi tena wakae meza moja kabla hajapotea kama walivyotea wengine, naamini wazee na wanachama waliomfukuza watamsamehe.