kafulila IPTL/PAP

kafulila IPTL/PAP

Endeleeni kujitoa ufahamu tu kwa kumshambulia Kafulila kwa kuwa tu anajaribu kutuonyesha jinsi tunavyoibiwa.. Sasa hao ambao mnaendaga kupitisha bakuli ndo wamegoma kutoa pesa mpaka watakaporidhika hatua zitakazochukuliwa dhidi ya hao mnaowatetea..
https://www.jamiiforums.com/politic...hhold-of-sh1tr-aid-over-the-iptl-scandal.html

Mkuu naomba tueshimiene tena naomba tueshimiane mimi mambo ya kuniqoute then unaniambia ujinga kama huu cpend kama natumika wewe inkuhusu nn? Au unanitumia wewe nakuomba sana tueshimiane na kama uwezi kuchangai bac hacha na na sio kukoqoute id za watu
Ili ni onyo ukirudia ntacho kufanya utajutua maishani mwako
Hii ni sehemu uhuru bwana kila mtu anachangia
 
Back
Top Bottom