Kafulila azidi kupeta kesi ya uchaguzi

Kafulila azidi kupeta kesi ya uchaguzi

chuuma

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2015
Posts
363
Reaction score
557
Jaji F. Wambari Leo ametupilia mbali hoja za mawakili wa Hasna na serikali walizowasilisha nyaraka zaidi ya kurasa300 kuomba kesi ya Kafulila ifutwe na kwamba hawaoni kesi ya kujibu baada ya Kafulila na mashahidi wake 3 pamoja na vielelezo kupokelewa mahakamani.

Jaji ameelekeza kesi iendelee may 3. Hasna atoe ushahidi uliompa ushindi na msimamizi wa uchaguzi atoe ushahidi uliosababisha amtangaze Hasna mshindi.
 
Ngoja tusubiri tuone tarehe 03 sio mbali.
 
Kama alishinda huyo kafu na jaji hatoitwa kwenye kiti kirefu kwa mazungumzo basi karibu bungeni, vinginevyo mh sijui..!!
 
Kafulila nenda kafanya yako kama ulivyofanya bungeni kutoa uozo...........

Huyo ndie Kafulila akinadiwa na Lowasa wakati wa kampeni
upload_2016-4-25_16-4-58.jpeg


Hapa akishukuru sana kwa kunadiwa na Lowasa

COHgtCnWUAANIre.jpg
 
Nina uhakika haki ikitendeka huyu dogo anakwenda kurudi bungeni mapema Mungu amsaidie
 
Huyu sio tumbili tena, tumbili gani anaua Simba au mmesahau kilichompata yule kaizari
 
Huyu sio tumbili tena, tumbili gani anaua Simba au mmesahau kilichompata yule kaizari
tumbili mshale mmoja chali na wananchi wakapigilia j,eneza.
ndo hukumu ya msaliti na msahau fadhila. muulize mdhihiri alivyomnyoshea Zitto mkono- ulikatwa .

pole sana msaliti na msahau fadhira
 
Ki kafurila kishindeee.....kaye naragafa ni chayeeee
 
Jamani Kafulila ni very humbled person. Kwa ambao mmewahi kukutana na Ama kufanya kazi na huyu bwana mnamuelewa. Aliyekuwa anampoteza ni ZZK
 
Jamani Kafulila ni very humbled person. Kwa ambao mmewahi kukutana na Ama kufanya kazi na huyu bwana mnamuelewa. Aliyekuwa anampoteza ni ZZK
Kafurila mi najua anasifa ya uropokaji tu...
 
tumbili mchango wake utakumbukwa tu hata asipo rudi mjengoni awamu hii.alitumia nafasi yako uzuri katika bunge lililopita.
 
Eeeh Mola mpiganie kijana huyu katika mapambano haya
 
Back
Top Bottom