chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,115
na laana ya CHADEMA itamwandama mpaka pale atakapoamua kuacha siasa[/QUOTE]
Ama kurudi tena CHADEMA?
na laana ya CHADEMA itamwandama mpaka pale atakapoamua kuacha siasa[/QUOTE]
Ama kurudi tena CHADEMA?
Arudi CDM ila atakuwa under special intensive observation.
jamaa hawezi kuhamia ccm maana kule mbatia tayari yupo so hana ujanja bali kuingia cdm.
Nashangaa sana watu ambao wanamchukulia Kafurila kiwepesi wepesi, huyu Kafurila ni zaidi ya Shetani ni kwamba kama mipango yao na Zitto Kabwe ingekamilika kumng'oa James Mbatia kwenye uwenyekiti Nccr ndio kilikuwa chama kinachoandaliwa kuja kuivuruga Chadema miezi michache kabla ya uchaguzi mkuu 2015. Ni mungu tu ameamuwa kuonesha uwepo wake.
Manyanza Pamoja mkuu, hivi leo ndio tarehe 12 JF itakuwa haipatikani kwa siku 3 au kuanzia asubuhi ndio maumivu yataanza?wellcome back kamanda
Ndiyo hii Laana inamtafuna?na laana ya CHADEMA itamwandama mpaka pale atakapoamua kuacha siasa
Anarudi kule kule tenaNdiyo hii Laana inamtafuna?