Duble Chris
JF-Expert Member
- May 28, 2011
- 3,481
- 564
David Kafulila aliyeenguliwa ubunge na chama chake NCCR alipokelewa kwa kishindo kama mfalme jimboni kwake na wananchi
Wakati huko CUF - DAR
kwenye mkutano wa ndani walinzi wa wa chama waliwachapa vibao wajumbe na baadhi kujeruhiwa
Source magazeti ya leo via RFA
Wakati huko CUF - DAR
kwenye mkutano wa ndani walinzi wa wa chama waliwachapa vibao wajumbe na baadhi kujeruhiwa
Source magazeti ya leo via RFA