Kafara halina rivasi

 
umenifanya niwaze kuku ambao hua nawachinja, na pia enzi za ujana nilipo kua nawadungua ndege na manati na kuwafanya vitoeo. Kwa hyo mambo yangu yasipoenda vzr ni wale kuku na ndege wananililia?πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
 
umenifanya niwaze kuku ambao hua nawachinja, na pia enzi za ujana nilipo kua nawadungua ndege na manati na kuwafanya vitoeo. Kwa hyo mambo yangu yasipoenda vzr ni wale kuku na ndege wananililia?πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚πŸ™‚
Kuna kutenda bila kujua ama kunia.... Madhara yake ni madogo sana na sometimes yasiyoonekana kabisa... Tatizo ni pale unapoenda kwa mganga wa kienyeji kutafata mafanikio... Hii ni dhamira ya wazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…