Kafanya la Maana lakini Polepole ni mapepe

Kafanya la Maana lakini Polepole ni mapepe

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
9,293
Reaction score
13,958
Amefanya maamuzi ya maana sana kujiuzulu lakini kati ya watu mapepe wa kuogopa ni polepole. Alijiona Mungu mtu wakati wa Magu na kunyanyasa watu sana.

Alitaka nankuchangia kudumiza democracy sana na ndiyo amechangia sana kwa matatizo tuliyonayo.

Leo kaokoka na amekuwa mpenda haki za binadamu ni jambo jema lakini je umapepe wake umeisha au ni mbinu tu za kisiasa
 
Amefanya maamuzi ya maana sana kujiuzulu lakini kati ya watu mapepe wa kuogopa ni polepole. Alijiona Mungu mtu wakati wa Magu na kunyanyasa watu sana. Alitaka nankuchangia kudumiza democracy sana na ndiyo amechangia sana kwa matatizo tuliyonayo. Leo kaokoka na amekuwa mpenda haki za binadamu ni jambo jema lakini je umapepe wake umeisha au ni mbinu tu za kisiasa
Muosha huoshwa. Kama ni mwanaume arudi Tanzania kupigania hiyo haki.
 
Kama alishakosea huko nyuma ni sawa, lakini bora Leo amejitambua anaona misingi ya haki haifuatwi ! Huyu bado ni mwanachama wa ccm , katoka hadharani kuongea haya, tunahitaji wengine wenye huu ujasiri !

Press aliyoahidi atamwaga mboga, stay tuned
 
Mwanasiasa ni mwanasiasa tu, akiahidiwa vinono mambo yatabdilika juu kwa juu.
 
Back
Top Bottom