Kadinda atoa wanawake udenda

Mbona kijana anasakamwa sana, hivi huyu kijana watu wanacheka naye, pumziko lao?
 
Wadindishaji huwa hawadindishi Instagram utasikia tu wadada wanavyodai pesa za matunzo ya watoto. Kiba mwenzao anawaonesha picha za watoto wake utajaza mwenyewe watoto wanapatikana vipi.

Upo sahihi, Kiba anao saba na bado kijana. Matunzo ya hao watoto yatamshinda asipokuwa mwangalifu.
 
Ni baada ya kupost pic akiwa kavalia kinguo chepesi kilichomuonesha umbo lake kwa mbele na kuzua mtafaruko wa tamaa huko instagram

Masshoga wengi wakiona mabbolo wanadinda mbele na nyuma!! So huyo inawezekana kadinda zaidi nyuma kuliko mbele
 
Wadindishaji huwa hawadindishi Instagram utasikia tu wadada wanavyodai pesa za matunzo ya watoto. Kiba mwenzao anawaonesha picha za watoto wake utajaza mwenyewe watoto wanapatikana vipi.

Kiba na timu ya mpra..... huo udindishaji haufai
 
Huyu kak nilikua namueshmu,enzi zile za single batan fashion nilimuona mtu wa heshma anae dil na mambo yake,lakn kmbee..
 
anajisafisha kwamba yy si kama wanavyomuongelea... kwamba ni mwanaume kamili.... ampe mimba mtu ndo tutaamin huwez shinda na madem kibao wakali alafu huwali lazima utakua na matatizo picha kama hizi hazisaidii ku prove iman walizonazo watu vichwan mwao!!!
 
Back
Top Bottom